Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok ngoja niingie chimbo kupata taarifa zake clement kiondo....Mara ya mwisho alikuwa anauza mishikaki maeneo ya leader clubAliepo kijichi kasema wema bro
Poa poa usiache kutujuza hapaOk ngoja niingie chimbo kupata taarifa zake clement kiondo....Mara ya mwisho alikuwa anauza mishikaki maeneo ya leader club
Mara ya mwisho alikuwa chini ya Marehemu Kijazi India
una mkono wa kiume mtamu kinyamaAleteee hiyo apate huyu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1724703
Hapa mbaya wangu mzee wa chura lazima anisakame....una mkono wa kiume mtamu kinyama
Kafulia nambwa kasepa ili isiwe shida kuishi kwa sepenga no money no good lifeWema akili ndogoView attachment 1724696View attachment 1724697
Umeanza hahahahauna mkono wa kiume mtamu kinyama
Kupigwa deki ndio nini?
weee hajakutoa mate?ila nimekuja gundua navutiwa zaidi na mikono kuliko sehemu nyingine yoyoteUmeanza hahahaha
Nimetoka nikayameza nikashushia na maji, kisha nikajisemea shetani nipishe na unikome uuumbwa we!!!weee hajakutoa mate?ila nimekuja gundua navutiwa zaidi na mikono kuliko sehemu nyingine yoyote
hahhahaaaa niombee na mieNimetoka nikayameza nikashushia na maji, kisha nikajisemea shetani nipishe na unikome uuumbwa we!!!
Mmh mkono tena?! Hahahahha
Wabongo kwa wivu [emoji1][emoji1]kama ww waona 2m ni nyingi ni wew huna ela .acheni ushamba mtu ana mapenzi na kitu chake na anatoa ela yake nyie inawauma nn.all in all mtu hapangiw matuzmiz na pesa zake haijalishi alivozipata
Basi habari zilizokuwepo ni alikua ikulu, kumbe sio?!Clement Kiondo CK wa Wema kwanza hakuwa anafanya kazi Ikulu,alikua huko Taasisi ya Ndege za Serikali,wakatumbuliwa na kesi juu,nadhani alipigwa miaka kadhaa,sasa sijui alitoka au la! Baada ya kwenda jela au kabla ya kwenda jela alifuria hatari,hadi akawa anauza chips! Maisha yalibadilika sana
Na kimwili chake jameni, amekua kama mnyooAende zake huko kwa hela gan alizokua nazo
Duuh! Kutoka kuwa sponsor mpaka kuuza mishkaki?! Acha utani weweOk ngoja niingie chimbo kupata taarifa zake clement kiondo....Mara ya mwisho alikuwa anauza mishikaki maeneo ya leader club