Wema avishwa pete

she waz just shooting her move jaman cyo kwel
 
Huyo binti ni pasua kichwa hata mikasa haijaisha ring nyingine lol:ranger:
Atakuja shutka akiwa na miaka 40 hakuna ndoa wala watoto akiwa amebakiwa na historia ya kuvaa engagement rings..nao wanaomvalisha akili hawana kabisa au ni namna ya kujitangaza kwa kupitia magazeti.
 
Jamani eleweni kitu kabla hamjapost...alikuwa ana shoot move na si kwamba ni tukio la kweli.
 
Alikua anatengeneza movie yake mpya hapo na mwinyi alicheza nafasi ya diamond na kuongea maneno kama aliyosema diamond.

Source: millardayo.com
 
Hii ni sinema tu, msiwe na tatizo kabisaaaa!!!!!!!!!!!!!!
 
Nimetelliwa kuwa ni just a movie, pete, hizi pete!, pete sio ishu, mapenzi yapo kweli au magumashi, ukikaa mbele za watu unawaringishia, unajichekesha, ukijifungia chumbani unalia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…