Wema awafungukia wanaomsema kutembea na Bajaji

Zero brain, mbona insta mnataka na kuringishia kuwa na followers wengi!?, naomba rafsiri ya neno "followers" ndo tuendelee.....
 
Kipindi anachukuliwa na Jumbe yule jamaa wa tabata alikuwa na wifi yake dada yake jumbe alikuwa na kigari kibovu sana nakumbuka ndio wema alikuwa anapenda kutokea kwenda viwanja mida ya usiku,kama sio kilikuwa ki Mark 2 basi Corolla,
Tatizo sio wanaofatilia maisha yake tatizo wao wamezoea kuishi maisha ya kucopya sasa wakiishi halisi watu wanashangaa ndio kama hivyo
 
mbona poa tu kupanda bajaji, waache kumfuatafuata
 
kama anasomaga JF, naomba ajue kuna mwanaume ninae mpemda nae ni mimi, naitaji nkae juu ya kufia chake tu, walau nkimkojoze mara moja nyie msemeni ila akisoma ujumbe huuu anitafte please sina pesa ni maskini ila nina mtamani sana
 
Hivi wanaoishi huko kusiko na vumbi mbona wanapenda sana habari za walavumbi ambao siyo wa grade yao
 
Kwanza kipindi iki hadi mabosi wa serikarini wanapanda bajaji vp yy kawaida tu aspaniki wema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…