Wema, diamond... Hakuna ndoa

Wema, diamond... Hakuna ndoa

WEMA MTUMWA WA MAPENZI?
“Nahisi nimekuwa mtumwa wa mapenzi, utadhani nililetwa duniani kuteswa na mapenzi.
“Hebu fikiria leo ni siku ya nne Diamond hapokei simu wala hajibu sms, najua sina la kufanya, nimeamua kumwachia Mungu kwa sababu mwenzangu anamsikiliza zaidi mama yake.

“Diamond anajua fika kuwa mama mkwe wangu ananichukia na kila siku ananichachamalia niachane na mwanaye, nimeamua kunyanyua mikono juu na kumshukuru muumba kwa hapa tulipofikia kwani sina jinsi.
“Najua jamii itaniona mkorofi na sistahili kuwa mke wa mtu, lakini ukweli mimi si mkorofi na nampenda Diamond kwa dhati,” alisema.

ETI PANDE ZOTE MBILI HAZITAKI NDOA
Uchunguzi uliofanywa na gazeti hili umebaini kuwa wakwe wa pande zote mbili hawataki kuona ndoa hiyo inafungwa, wanawachukulia wapenzi hao wanafanya mambo yao kujifurahisha tu na kwamba

Huyu dada ana pepo baya sana...tena inawezekana na shetani mwenyewe....stupid Wema....
 
kama angeweza atulie tu sasaiv na kukaa mbali na mapenzi coz imekuwa kama mchezo wa kuigiza na kumchafulia sifa.naamini maumivu yanayo muumiza yataisha na atakuwa katika hali ya kawaida hadi Mungu amfugulie njia na kumpa mume mwema.kama anataka ushauri ............anicheki
 
huyu mtoto angekuwa mtulivu me ningemuoa nampenda sana!ila ndio kanikatisha tamaa na huo uhuni wake wa kuliwa tigo..
 
Back
Top Bottom