Wema: Hata nikizeeka nyota ipo pale pale


Ahahaah mama ubaya akisoma hapa lazma alie
 
nyota yke itakua ile sigara kali ya nyota.....bi kidude alikua n nyota zaidi yke kafa akiwa n banda sio nyumba.....yeye auze mpapa halafu aseme ananyota dadadeki sifa zitampeleka kubaya
 
Ila kusema kweli tuache unafki hiki kibibi bomba kina nyota ya ajabu sana, hasa ile ya kutumbukizwa midudu ya kila aina na anawaruhusu watumie mitandao yote anayo sana tena sana.
 
hivi hizi birthday party wakifanya mbona hua hawasemi wametimiza miaka mingapi?????ila wema bado mbichiii nadhan ametimiza 29 mwaka huu.
 
Lipsticks way to expensive. Eti elfu 40 per piece. Kitu chenyewe mchina. Sasa na ya Marc itakuwaje?
 
Anakusumbua wewe na ukoo wako

Duh, nimekosea njia.

Kumbe nilikoment kwenye hili jukwaa?

Kaka/dada nisamehe maana nimetoa komenti hiyo pasipo kujielewa.

Nisamehe sana kaka/dada yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…