Hivi ana nyumba? Mimi hamna kitu namuheshimu MTU kama kujiongeza kuwa na nyumba kuna SAA unashangaa MTU kama wema anakosaje nyumba ya milioni 50? Ni kuishia kupanga tena nyumba nzima but why jaman?na hii system ni ya wasanii karibun wote Bongo jamani igeni WCB pale Boss chibu hatak utan kwanza nguo zenyewe anavaa nyeusi ili ajibane pesa inaingia kwny Karanga...siyo kina mbasha kila siku kuvaa masuti ya njano bila kujua ananufaikaje....ebu muigeni basi hata msukuma masanja...