warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Ule ushoga wa mastaa wa kike bongo,wema sepetu na kajala masanja umefikia pabaya kisa kikidaiwa ni maneno ya wapambe wa wema.hivi karibuni wema alimlalamikia wazi wazi shosti wake huyo kuwa anamsema vibaya kwa watu,pia inasemekana kipindi cha nyuma kajala alipata dili la kwenda kucheza filamu china lakini ikadaiwa kuwa wema alichomoa hivyo muigizaji huyo hakwenda.chanzo kingine ni zile millioni kumi na tatu alizomtolea kajala inasemekana zinamkosesha raha kajala yaani amekuwa mtumwa wa wema,atakachosema wema basi kajala anafauata hata kama yeye hakupenda kufanya hivyo kisa kikiwa ni zile million kumi na tatu alizomtolea kajala.hivi sasa kila mtu kaamua kufanya yake
