Wema kapokea Nissan Murano kama zawadi ya Birthday

mie nawashangaa mnaosema nyumba...
nyie mlijenga/kuwaza nyumba miakka 26.
Eboooo muacheni mdada wa watu ale ujana kuna umri ukifika kuna vitu vina priority si umri wake.
 
Mie nimejikamulia kindoo kidogo cha ndimu...

Silambi

Nakunywa....

Hhhhhaaaa yako kali balaa changanyamo na jiki basii ,,
basii wadada sasa hivi kila mtu atatamani apewe zawadi ya garii hhhhaa ambao mnabanana kwenye daladala polenii aisee sie tunao wanaojali kuliko huyo chibu na tumejikalia kimyaaaa
 
Kwahiyo Wema kapewa gari mbili kwa mpigo? Au filamu zinaendelea ndio movie mpya ya kuingizwa sokoni?

Mwisho tutayasikia mengi na team zao kuhaha mpaka kuitishana vikaoo,wacha movie iendelee Matola
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu wana nyota kali kweli, anaitenga tu K watu wanaleta magari dabodabo wakati wengine wanajituma haswa lakini hata ahadi tu ya phonex hawajawahi pewa!
 
Kuna watu wana nyota kali kweli, anaitenga tu K watu wanaleta magari dabodabo wakati wengine wanajituma haswa lakini hata ahadi tu ya phonex hawajawahi pewa!

Kwani kila anaepewa gari lazima atangazee, mbona kuna watu wanawanunulia kila kitu,sema Wema ni maarufu lazima mtasema hivyo lakini ni kawaida tu hayo haitishii sanaaa
Wanatishika ambao hawajawah kununuliwa magari na wapenzi wao au waume wao
 
Basi kichefu chefu chako kikali shoga angu..basi tengeneza juisi ya ndimu unywe kutwa mara tatu...nyingine paka kidogo machoni...

Hahahaaa,uwiiii jamani nimecheka eti apake machoni!!!!
 
Kwani kila anaepewa gari lazima atangazee, mbona kuna watu wanawanunulia kila kitu,sema Wema ni maarufu lazima mtasema hivyo lakini ni kawaida tu hayo haitishii sanaaa
Wanatishika ambao hawajawah kununuliwa magari na wapenzi wao au waume wao

K Lyn yupo zake kimya anakula mema ya nchi na bwana Machache. Hawana kelele hawa kelele ni utamaduni wa Malofa ambao hawakutalajia kuwa walivyo.
 
Wambea tumenyweeaa....tunasikilizia bakora za msuto...
Haya mahaba yao kiboko....ila washasena maumivu yakizidi tulambe ndimu....

Watuwekee basi na kadiii tuone majina raha ya ngoma korasi jamanii yasije kua ya Vx kurudi kwa Chief kiumbeee
Tupeni vyetu tuzidi kulamba ndimu malimau na jikiii
 
K Lyn yupo zake kimya anakula mema ya nchi na bwana Machache. Hawana kelele hawa kelele ni utamaduni wa Malofa ambao hawakutalajia kuwa walivyo.

Ndio hivyoo siku zote maskini hua wana kelele hata wakipika dagaa wataweka viungo vya pilau ila linukie mtaa mzima wajue wanakula pilau Matola mi mpaka niaminii watuwekee kadi tuone hayo majina ni ya wema hapo ndio watatuua kabisa lakini hivi hiv bado sanaaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa,uwiiii jamani nimecheka eti apake machoni!!!!

Ndio shoga...ukipaka machoni inakusaidia kufanya usione kizungu zungu....
Hata wewe tumia hiyo kama maumivu yamezidi
 

Ukute kadi bado ipo kwa Ruge...hebu vuta subira kwanza...
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…