Wema kawekeza zaidi ya bilioni 7 kwenye biashara ya vipodozi



Bilioni 7 za ki-bongo muvi.
 
Endless fame si iliporwa vitendea kazi na mtu aliemnunuliaga akaahidi baby "diamond" atamnunulia lakini wapi, kwaio mimi nilipo hapa nashangaa imefufuka vipi?
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
 
Mwakani kuna elimu ya bure inaanza itatubidi tusome ili tuongeze maarifa na kupunguza ama kuondoa kabisa kamasi vichwani mwetu.
 
billion saba labda kama kaziomba benk akatoa photocopy, yeye hata nyumba ya mil 150 hanna, anapanga sinza kwa wajanja.
 
Nashukuru sana kwa wazazi wangu kunipatia elimu.
Shule muhimu sana wana jamvi
 
Teh teh watakuwa walimhoji na akasema hivyo....!
 

Yaani mie ile frem ya pale Mwenge ndio iliniacha hoi.... All the places ndio akaona pale kweli..

Ilikua kila nikipita natizama hilo duka linalopewa promo liko wapi kuja kuliona nilichoka ndani kwenyewe kweupe duka halijajaa kihivyo wala nini. Sembuse hizo bilioni 7.
 
Nina aleji na hesabu habari yoyote ikiwa na namba/hesabu huwa sielewi kabisa
 
Nahisi kakosea tu ni laki 7....!!! hahahaaaaaa!!!! Vigodoro amuachie nani huyo Wema, ana akili hata ya kufanya biashara ya mtaji wa laki moja yule... tuondole ----- hapa... story zenu za vijiweni ndio unatuletea hapa ili tufanyeje.
 
Wema ana nyumba tangu lini. Na sio yeye tu, sidhani kama kuna msanii hata mmoja wa kike bongo mwenye nyumba, zaidi ya kupanga na kuishi maisha ya kifahari kwa kutegemea wanaume waliokosa akili.









Wema hana hata kibanda?

Unacheza wewe. Wema ana nyumba ya milioni 400
 
Sal kweli maana ray c alikuwa najenga moja sijui wapi kule lakini akaishia njiani akaiuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…