shayookoko
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 467
- 277
Beside I ndio nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa kutoka mtu wa ndani kabisa wa endless fame zinasema mwanadada mrembo Wema Sepetu katumia zaidi ya bilioni 7 to get her business up and running.Mrembo huyo ambaye ni miss Tz 2006 ambaye kila siku anazidi kuwa mrembo na kijana zaidi ukilinganisha na 2006 amepata hela zote hizo toka mauzo ya kazi zake za sanaa kutoka soko la nyumbani pekee.
Habari zinadai kuwa baadhi ya pesa hizo amewekeza kwenye viwanda vinavyotengeneza bidhaa zake huko China na zingine akiwekeza kufungua maduka makubwa ya kisasa Afrika Mashariki na Kati.Mtonyaji huyo amedai bila Wema Sepetu Bongo movie ingekufa miaka mingi iliyopita lkn Wema amekua akipambana kutengeneza kazi nzuri na za maana wakati movie yake ya mwisho iliuza kopi milioni 2 (ni kama double platinum hivi).
Wema na meneja Kadinda walipotafutwa kuongelea suala hilo hawakupokea simu lkn tulipojaribu kumpigia mdau wa karibu Petiman alidai yuko kwenye besidei ya dada diamond na akitoka angetutafuta.
CHANZO :GPL
Taarifa kutoka mtu wa ndani kabisa wa endless fame zinasema mwanadada mrembo Wema Sepetu katumia zaidi ya bilioni 7 to get her business up and running.Mrembo huyo ambaye ni miss Tz 2006 ambaye kila siku anazidi kuwa mrembo na kijana zaidi ukilinganisha na 2006 amepata hela zote hizo toka mauzo ya kazi zake za sanaa kutoka soko la nyumbani pekee.
Habari zinadai kuwa baadhi ya pesa hizo amewekeza kwenye viwanda vinavyotengeneza bidhaa zake huko China na zingine akiwekeza kufungua maduka makubwa ya kisasa Afrika Mashariki na Kati.Mtonyaji huyo amedai bila Wema Sepetu Bongo movie ingekufa miaka mingi iliyopita lkn Wema amekua akipambana kutengeneza kazi nzuri na za maana wakati movie yake ya mwisho iliuza kopi milioni 2 (ni kama double platinum hivi).
Wema na meneja Kadinda walipotafutwa kuongelea suala hilo hawakupokea simu lkn tulipojaribu kumpigia mdau wa karibu Petiman alidai yuko kwenye besidei ya dada diamond na akitoka angetutafuta.
CHANZO :GPL
Mimi natafuta vitafunwa lakini sivioni.................Chai....
Biashara ya billion 7 Hata kibanda hana.......za kuambiwa changanya na zako tutolee utaahira wako hapa
Hahahaahah wazee wa kuongeza sifuri...
Acheni kumpamba huyo Wema..hv mnafanya mchezo na uwekezaji wa Billion.7?uwekezaji wa Billioni saba ndo uishie kwenye ka Frame ka Pale Mwenge karibu na maghorofa ya jeshi?nyie watuu..daah..iko hv..huyo wema kimsingi anatumika na jamaa mmoja ambaye ana kampuni inayouza software inayoitwa Problem Solved,Software inayotumika kwa maduka/supermarkets kwa ajili ya mauzo..sasa alimpa mtaji na kumtumia Wema kuwa Front..unafanya mchezo na Billion.7?na kwa taarifa yenu,lile gari alilopewa kwenye birthday ya mwaka jana,ambalo lilivunja uhusiano na diamond,pamoja na hili la mwaka huu,yote yametoka kwa Sebastian Ndege,yeye ndo yuko nyuma ya pazia..Wema ataendelea kuishi kwa kutegemea watu kumuweka mjini mpaka hapo atakapojipanga yeye kama yeye..Eti Billion.Saba..mfyuuuuuu++++
wema bila kiki haishi kabisa...akiona watu wanamsahau lazima aje na viroja.