Wema kawekeza zaidi ya bilioni 7 kwenye biashara ya vipodozi

Wema kawekeza zaidi ya bilioni 7 kwenye biashara ya vipodozi

hahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Haaa uongo mtupu anajaribu kuficha aibu ya vipodozi vyake kutouzika lazima wema kawaomba wa global wamwandike hivyo

Vipodozi wiki moja vimedoda hadi ameanza kuhuza kwa nusu bei, kawaida angekuwa nannyota vingeisha na kuomba watu wasubirie vingine.

Kuhusu Movie aaagh nakufa mbavu ya Van Vicker wa Ghana hafi leo movie haijatoka nadhani kaka yule hakujua kisima gani cha maji aliingia alipokubali kucheza naye movie

Anahamu ya kuwa juu, Kanumba na wengine tunajua ndio walioweka bongo movie mjini. Hana hata movie aliyotoa miaka iliyopita iliyozungumziwa

Aache tabia sasa ya kutafuta ujiko wa kuwa yeye tajiri wakati watu wengine wanawekeza na biashara kama ya vipodozi sio yake asilimia 100% hata 50%, tena utajiri wa naniniiii
 
Acheni kumpamba huyo Wema..hv mnafanya mchezo na uwekezaji wa Billion.7?uwekezaji wa Billioni saba ndo uishie kwenye ka Frame ka Pale Mwenge karibu na maghorofa ya jeshi?nyie watuu..daah..iko hv..huyo wema kimsingi anatumika na jamaa mmoja ambaye ana kampuni inayouza software inayoitwa Problem Solved,Software inayotumika kwa maduka/supermarkets kwa ajili ya mauzo..sasa alimpa mtaji na kumtumia Wema kuwa Front..unafanya mchezo na Billion.7?na kwa taarifa yenu,lile gari alilopewa kwenye birthday ya mwaka jana,ambalo lilivunja uhusiano na diamond,pamoja na hili la mwaka huu,yote yametoka kwa Sebastian Ndege,yeye ndo yuko nyuma ya pazia..Wema ataendelea kuishi kwa kutegemea watu kumuweka mjini mpaka hapo atakapojipanga yeye kama yeye..Eti Billion.Saba..mfyuuuuuu++++
 
Taarifa kutoka mtu wa ndani kabisa wa endless fame zinasema mwanadada mrembo Wema Sepetu katumia zaidi ya bilioni 7 to get her business up and running.Mrembo huyo ambaye ni miss Tz 2006 ambaye kila siku anazidi kuwa mrembo na kijana zaidi ukilinganisha na 2006 amepata hela zote hizo toka mauzo ya kazi zake za sanaa kutoka soko la nyumbani pekee.

Habari zinadai kuwa baadhi ya pesa hizo amewekeza kwenye viwanda vinavyotengeneza bidhaa zake huko China na zingine akiwekeza kufungua maduka makubwa ya kisasa Afrika Mashariki na Kati.Mtonyaji huyo amedai bila Wema Sepetu Bongo movie ingekufa miaka mingi iliyopita lkn Wema amekua akipambana kutengeneza kazi nzuri na za maana wakati movie yake ya mwisho iliuza kopi milioni 2 (ni kama double platinum hivi).

Wema na meneja Kadinda walipotafutwa kuongelea suala hilo hawakupokea simu lkn tulipojaribu kumpigia mdau wa karibu Petiman alidai yuko kwenye besidei ya dada diamond na akitoka angetutafuta.

CHANZO :GPL


Wema yupi??,

Yule Mwenye michirizi?
 
Taarifa kutoka mtu wa ndani kabisa wa endless fame zinasema mwanadada mrembo Wema Sepetu katumia zaidi ya bilioni 7 to get her business up and running.Mrembo huyo ambaye ni miss Tz 2006 ambaye kila siku anazidi kuwa mrembo na kijana zaidi ukilinganisha na 2006 amepata hela zote hizo toka mauzo ya kazi zake za sanaa kutoka soko la nyumbani pekee.

Habari zinadai kuwa baadhi ya pesa hizo amewekeza kwenye viwanda vinavyotengeneza bidhaa zake huko China na zingine akiwekeza kufungua maduka makubwa ya kisasa Afrika Mashariki na Kati.Mtonyaji huyo amedai bila Wema Sepetu Bongo movie ingekufa miaka mingi iliyopita lkn Wema amekua akipambana kutengeneza kazi nzuri na za maana wakati movie yake ya mwisho iliuza kopi milioni 2 (ni kama double platinum hivi).

Wema na meneja Kadinda walipotafutwa kuongelea suala hilo hawakupokea simu lkn tulipojaribu kumpigia mdau wa karibu Petiman alidai yuko kwenye besidei ya dada diamond na akitoka angetutafuta.

CHANZO :GPL


Wema yupi??,

Yule Mwenye michirizi? Na ndambi?
 
wema bila kiki haishi kabisa...akiona watu wanamsahau lazima aje na viroja.
 
BILIONI?? BILIONI ya kuandika kwa maneno au pesa?
 
hivi wewe msaga sumu ni me au ke???? maana napata wasiwasi wa jinsia yako kwa thread uliyoileta, na kama wewe ni me basi utakuwa na matatizo makubwa sana.
 
Acheni kumpamba huyo Wema..hv mnafanya mchezo na uwekezaji wa Billion.7?uwekezaji wa Billioni saba ndo uishie kwenye ka Frame ka Pale Mwenge karibu na maghorofa ya jeshi?nyie watuu..daah..iko hv..huyo wema kimsingi anatumika na jamaa mmoja ambaye ana kampuni inayouza software inayoitwa Problem Solved,Software inayotumika kwa maduka/supermarkets kwa ajili ya mauzo..sasa alimpa mtaji na kumtumia Wema kuwa Front..unafanya mchezo na Billion.7?na kwa taarifa yenu,lile gari alilopewa kwenye birthday ya mwaka jana,ambalo lilivunja uhusiano na diamond,pamoja na hili la mwaka huu,yote yametoka kwa Sebastian Ndege,yeye ndo yuko nyuma ya pazia..Wema ataendelea kuishi kwa kutegemea watu kumuweka mjini mpaka hapo atakapojipanga yeye kama yeye..Eti Billion.Saba..mfyuuuuuu++++

duuuuh mbna kma promo kwa seba mana yeye mwenyewe point imebana kuhonga ni kipaji.....nenda mwz n uliza habari y seba utaambiwa hali c hali....madeni ni mengi na hayalipiki ungesema hiyo bmw ndio alimhoga sawa bt sio range.....kuna hotel alikua anakaa mwz anadaiwa hela y kutosha na kulipa imeshindikana.......hali c hali
 
wema bila kiki haishi kabisa...akiona watu wanamsahau lazima aje na viroja.

hahaaa ndio anamalizia 2015 mlikua mmemsahau mda mara mwaka jana alifunga ndoa......mwaka huu kafunga ndoa tena kweli maajabu....mhalafu mbna wadada w mjini hawakui ninishida angalia picha y hiyo pati yke wengi wanaumri mkubwa ila wanaakili kma z wema ndio marafiki n mashabiki wke.....au nao wauza mpapaa yamejikoboa hatariii sherehe nzima shabaranks ndio mweusi wengine wote weupe.
 
Back
Top Bottom