Kwaheri kwaheri... Kiumbe kile nihatari sanaKweli kati ya wadada wenye bidii wema unastahili pongezi umetoka kuwa nyambizi hadi kuwa kipotabo kweli wewe na zari mnajitambua siyo kama msanii moja kutwa eti mahari yake million 20 alafu nyambizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Hongera wema.... View attachment 1281820View attachment 1281821View attachment 1281822View attachment 1281823
Kwani ulitakiwa umuelewe ili iweje? Kwani yeye anakuelewa?Ila huyu dada simuelewi
Hapana bado mpaka 2021 july jamani acha kumzeesha mwenzioSasa atakua na miaka 18
Ila huyu dada simuelewi[/hawa wasanii kuwaelewa ni kazi
Kwa nn humuelewiIla huyu dada simuelewi
HApana.Sasa atakua na miaka 18