Vyote sawa kutegemea na muktadha.
Ni kama kusema nimevurugwa na nimevurugika.
I'm Westernized unasema umefanywa kuwa kimagharibi. Msisitizo ni -ized kwamba umefanywa kuwa hivyo.
I'm very Western unaeleza ulivyo. Uko Kimagharibi zaidi.
I'm very local. I'm very localized.
I'm very Swahili. I'm very Swahilized.
I'm very English. I'm very Anglicized.
Sasa ulikuwa unabisha nn wakati hats video hujafungua....Sijaifungua
Sijakupa muktadha, nimekupa mfano. Elewa tofauti.
Anhaa, muktadha huujui.
Haya maneno yako hapa chini kwa nini yanatuambiwa muktadha ni nini ilhali huujui?
Kama hapo maongezi ni ya katika jamii ya Waswahili, muongeaji akisema hivyo, kwa muktadha, atachukuliwa kwamba anasema yeye anajinasaba na umagharibi zaidi ya mswahili wa jedwali la kawaida.
Sasa hivi unajiweka mbali na Wema, unanambia niongee na Wema, wakati ni wewe ndio ulichupa kutufafanulia maneno ya Wema. Unaongelea muktadha wakati unakiri huujui, baadae unaruka maneno yako ya kutuletea muktadha. Labda ungekuwa unapitia mara moja zaidi kabla ya kutundika maandishi yako, unasomwa na watu wa kada na upeo wa kila aina, sio waumini peke yake. Ni hayo tu.
Kwanza kabisa kujadiliana na mtu anayechukua wiki kadhaa kujibu ni kero. Unaua flow ya mjadala.
Pili, muktadha nilioutaja ni wa nini? Unajua kusoma?
Maneno yamekwambia muktadha ni wa nini wapi? Unafahamu maana ya neno "kama" ? Mimi nitajuaje muktadha wakati video sijaangalia na wala sina mpango wa kuangalia hata kama nikilipwa?
Wapi nimefafanua maneno ya Wema? Nitafafanua vipi maneno ambayo sijayasikia? Unajua kusoma wewe?
Wewe acha kuparamia mambo kwa kuyasoma kingumbaru.
Mimi siposti kwa kutafuta approval ya waumini, wapinga papa, vipapa au wewe.
I am very very Africanized or I am very very African. Hapa utakuwa umepata jibuJamani mlioingia madarasani nisaidieni, I'm very westernized or I'm very western?
Kutafuta dosari si mbaya,inawezakuwakaziinayohitajika.Hahahaaaa.
Huyo mshikaji mimi nishamweka kwenye ignore list.
Ye kazi yake humu utadhani ni kutafuta dosari tu kwenye mabandiko ya watu.
Wapi nimefafanua maneno ya Wema?
Nimefafanua maneno mafupi tu yaliyoletwa.
Fu.ck.Hujafafanua maneno ya Wema?
Hapa ulikuwa unasema umefafanua maneno ya nani?
Fu.ck.
I wanted to ask you this last time but refrained out of sheer respect for happenstance.
Do you get access for the internet every once in a month or something?
You are killing me with your monthly periodicals slowpoke.
I answer 500 people on 500 topics in between your posts.
I could hardly remember what you farted the last time you smelly rat.
Tatizo ni kwamba hata siku nyingine nikirudia, utachukua mwezi kunijibu.Sidhani kama siku nyingine utarudia kuja "kufafanua" na kutoa "muktadha" wa vi clip vya ndoa za Wema Sepetu. Video hujajali kuiangalia lakini umejali kuja "kufafanua" na kutoa "muktadha" wa ki video chake, daaaah... hurudii haki ya nani.