Wema: Mimi na Diamond tumeshayamaliza na ameniajiri Wasafi TV

Da nyumbu anapenda kuzungumziwa[emoji57] [emoji57]
 
DP pia atakuwa anampenda pamoja na yaliyojiri kati yao. Hiyo ajira ni ya kuzugia tu lakini ukweli ni kwamba wanaendelea kuvuana picchu.
Hakuna kitu kwa Wema..Domo anamkubali sana hamisa, na huyo demu ndo kamfanya Zari kamwaga manyanga trust me!
 
Ndio ustaa huo. Hukuona anashikashika nyweli kama mzungu huku uhalisia hayo ni makatani kaweka kichwani na nywele zake ahalisizimejaa mvi na kanyoa kipara???
Haaaaa haaaaa....uwiii, eti mvi na kanyoa paraa[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Cc. Shunie inna numbisa
 
Hawa watu wakiamua kujiingiza kwenye mapenzi safari hii hawawezi achana mpaka kifo kitawatenganisha mimi matajiri hivo
 
Diamond angemuajiri na Ali Kiba, maana na yeye ana sauti nzuri kama Wema Sipitu.
 
Si kwa mpenda papuchi DP. Siku yeyote akitaka kumvua picchu atamvua tu.

Hakuna kitu kwa Wema..Domo anamkubali sana hamisa, na huyo demu ndo kamfanya Zari kamwaga manyanga trust me!
 
Wema amepoteza dira kabisa.
Ila utegemea nini kwa brainless chiks
 
Mi
DP pia atakuwa anampenda pamoja na yaliyojiri kati yao. Hiyo ajira ni ya kuzugia tu lakini ukweli ni kwamba wanaendelea kuvuana picchu.
DP amuoe tu Wema. Maana kila aki date ke wengine, sababu ya kuachana nao huwa ni huyu bidada. Inavyoonekana DP & Wema hawajawahi kuachana, huwa wanamumzishwa tu na mashabiki wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…