Habari ni kwamba ile k anaila muda mrefu tuu.Hiyo clip sioni kuna ubaya wowote ndugu yangu. Hivi akiwa X wako huwezi kumsalamia! Ni uhasama? Kwani wamekiss kwa kula denda? Naona walikumbatiana tu after all hawa wapo katika industry moja pengine walikuwa wanazungumzia dili zao. Ila kama K kaileta katika sahani, kwa nini asiirudi kiroho mbaya!
Yaan kuna rafiki kidogo achizike nae ni mweupe ana kishunduAhaaaaaa haaaaaaa....li mama Sabrina lichizi hakyanani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nnazo za kujitawazia lakiniHana akili kabisa
hahaaaAngalia usije kusikia gaude ni mtoto wa jirani wewe ni baba mlezi
KIKI tu...
Kuanzia uzuri, tabia, umalaya, kuzaa mpaka kujitegemea, heri ya kikongwe kuliko Wema..
Eee nnazoNa kuvukia barabara
Mzuri ila watoto sasa khaaaaa tumuachie MolaHalafu kikongwe wanayemsema yupo vizuri
Kila idara,kwa style hii lazima awe na haters wengi
View attachment 686724 View attachment 686725
Tuambie ni naniiShoga unamjua 'the originalist IG?
hiyo issue yakupnga matukio na huyo mdada mbona ndio zake ..inshort wema ndiye aliyemuingiza ktk huo ujinga..tangu enzi zakuvishana Pete Maisha club na kukataa kupokea Pesa ml.city..nikipofu waakili tu ndiye ambaye hawezi kung'amua jnja Janja za hao jamaaDiamond hawezi kufanya jambo bila kusindikiza na kiki...ilikuwa lazima lifanyikeke jambo ili lengo lake litimie...
Sitashangaa kusikia Wema alilipwa kutengeneza hiyo kiki.
Diamond sio mjinga kiasi hicho kufanya tukio kama lile tena hadharani huku camera zikimchukua.
Sina shaka kuwa lile ni tukio la kupangwa.....
Ana sura nzuri tu vingine tumuachie MunguHalafu kikongwe wanayemsema yupo vizuri
Kila idara,kwa style hii lazima awe na haters wengi
View attachment 686724 View attachment 686725
Mbona walikua kama wameshikana kabla diamond hajaondoka pale.
kama patakuwa hakuna mwenye H.I.V basi UKIMWI UTAKUWA UNAUBAGUZIWema ana mimba ya Diamond, bi Tukinao ameshasema yeye kuzaa basi.
Hamisa na Wema haziivi kabisa sasa hivi.
My take wote wawe na afya njema lakini katika hii chain kama kuna mwenye HIV, mbona mjini patakuwa padogo.
Mbona hazai watoto wazuriAna sura nzuri tu vingine tumuachie Mungu
Ukimwi una wenyeweeekama patakuwa hakuna mwenye H.I.V basi UKIMWI UTAKUWA UNAUBAGUZI
kweli ngoja niondokeSimple minds discuss people