Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
- Thread starter
- #241
Habari ni kwamba ile k anaila muda mrefu tuu.Hiyo clip sioni kuna ubaya wowote ndugu yangu. Hivi akiwa X wako huwezi kumsalamia! Ni uhasama? Kwani wamekiss kwa kula denda? Naona walikumbatiana tu after all hawa wapo katika industry moja pengine walikuwa wanazungumzia dili zao. Ila kama K kaileta katika sahani, kwa nini asiirudi kiroho mbaya!