Tuombe Mungu tu, hakuna ujanjaHii chain ni ndefu na kina sisi utakuta tushakumbana nayo mahali. Ila Dar hamna ukimwi la sivyoo tungetafutana mjini.
Mapenzi hayajifichi atii. Tena mkiwa in love mnajiona kama mpo wenyewe hakuna anayewaangalia.Diamond hawezi kufanya jambo bila kusindikiza na kiki...ilikuwa lazima lifanyikeke jambo ili lengo lake litimie...
Sitashangaa kusikia Wema alilipwa kutengeneza hiyo kiki.
Diamond sio mjinga kiasi hicho kufanya tukio kama lile tena hadharani huku camera zikimchukua.
Sina shaka kuwa lile ni tukio la kupangwa.....
Sasa kama nilikua na nia, afu nikaona hujitambui, nikuoe tu!?Nyie mnatudanganyaga sana mpaka tunatoa bikra zetu halafu sasa hiv umasema sisi ndo tunasababisha.
Mapenzi ya moyo yalishia 1970 nowdays tunapeana raha tu kila mtu anaingia uchochoro wake maisha yenyewe mafupi huo moyo una presha,shindikizo la damu bado uyaingize mapenzi ktk moyo ZILIPENDWAKuguswa kunatokana na moyo sio ukubwa wa dudu.
Kwa siasa hizi za mtu mmoja kutaka azungumziwe yeye tu,bora kuzungumza mapenzi na mahusiano tu.Kwani udaku dhambi?unataka tuongelee siasa tu?
wema amenenepa uwiiWale wapenda ubuyu wenzangu tembeleeni kwa dada wa taifa kuna video mubashara kabisa ya Tz Sweetheart na kaka Abdul Naseeb. Mapenzi yamerudi kwa kasi ya ajabu sana.
Zarina ni muda sasa aamue kuondoka akaelee au aendelee kubanana na Wema na kwa hali ilipofikia Diamond hawezi kumuacha tena Wema hata awe aoe Wema ataendelea kuwepo.
Simple minds discuss peopleKwani udaku dhambi?unataka tuongelee siasa tu?
Ni mawili, hii ni point kubwa sana tangu niamke au ni kwakua sijanywa chai.Upumbavu unakuja pale ambapo mimi sina mtu na nampenda na yeye ananipendaa kwa wakati huo anarudi kwanini nisiendelee nae nikiwa nasubiri wangu. Kumuacha mtu unaempenda si jambo la kutumia nguvu. Mapenzi huwa yanaisha yenyewe tu. Sasa kabla hayajaisha usitumie nguvu na kujiumiza kuyamaliza.
Alisema kwenye take that ya Zamaradi kuwa kama ni kuzaa atazaa na Nasibu.Hawa watu wanapendana sana. Waliachana ila kila mmoja wapo alikuwa ana mmiss mwenzake. Wacha Movie iendelee.
Hakuna kitu kama Hiki!Wema ana mimba ya Diamond, bi Tukinao ameshasema yeye kuzaa basi.
Hamisa na Wema haziivi kabisa sasa hivi.
My take wote wawe na afya njema lakini katika hii chain kama kuna mwenye HIV, mbona mjini patakuwa padogo.
Inawezekana ni tukio la kupangwa, ila nadhani demu ni madhaifu sana kiasi kwamba jamaa angefungua zipu pale, demu alikuwa tayari kupiga BJ, bila kujua yupo hadharani.Diamond hawezi kufanya jambo bila kusindikiza na kiki...ilikuwa lazima lifanyikeke jambo ili lengo lake litimie...
Sitashangaa kusikia Wema alilipwa kutengeneza hiyo kiki.
Diamond sio mjinga kiasi hicho kufanya tukio kama lile tena hadharani huku camera zikimchukua.
Sina shaka kuwa lile ni tukio la kupangwa.....
Haa 50?Timu zari watawehuka nakuambia,ila zari ana moyo mpana kama pazia,avumilie tu miaka 50 ataenda wapi atabanana hapo hapo
Kweli ile ni salamu shemeji?
wema na zarina ni vitu viwili tofauti............. huyu mmoja ni mama wa mwenye watoto na familia huyu mwingine ni mama mdangaji ambsye mpaka uzee wake huu hajaanza familia maisha yake makuu ni ig zari hajapungukiwa na nitu huyu bibi wa kinyaturu ako na safari ndeefu ataishia kuliwa kalio la kichainis bhaaaaaaaaaasTimu zari watawehuka nakuambia,ila zari ana moyo mpana kama pazia,avumilie tu miaka 50 ataenda wapi atabanana hapo hapo