Wema na Diamond ndio habari ya mjini leo

yeahh sasa jeee safi sana kudanga kwa faida sasa huyu kishkwambi wenu niaje anatupia kwa toilate ama ni aje?
Tuweke mafanikio yao kwanza. Embu tuanze kufanya comparison ya mafanikio kabla ya kusifia
 
Tumekubaliana point ya kwanza.
Wote wadangaji,huyu kapewa akili kanyimwa matako,huyu kapewa matako kanyimwa akili!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Bibi tukinao atakufwa kwa msongo wa mawazo,mwaka umeanza vibaya kwa upande wake,ila dai anajua kumuumiza sana Tukinao
Na ndo vile keshagoma kuachwa anatesekaje sasa.
 
Ninadhani muda hii ana mkumbuka sana marehemu Ivan.
Ukitoka na ki-Ben 10 uwe tayari na haya akiona agemates anakusahau kwa muda
Ivan alikua anamuheshimu sana. Hakua anafanya maujinga hadharani kama huyu kijana wake
 
Ivi jamaa ana hela sana eeeeh....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…