Hujaamka mkuu? Bikra nchi hii? Wewe ni mgeni kwenye Mahusiano? Mtaenea hao mabikra wako wangapi?Fundisho ni:-Wanaume tuoe mabikra tu.
Kama na wewe hujazaa,tema mate chiniyeahh sasa jeee safi sana kudanga kwa faida sasa huyu kishkwambi wenu niaje anatupia kwa toilate ama ni aje?
OoohhhNasikia walishikana umbeya.
Mondi knows how to play with people's minds....Wale wapenda ubuyu wenzangu tembeleeni kwa dada wa taifa kuna video mubashara kabisa ya Tz Sweetheart na kaka Abdul Naseeb. Mapenzi yamerudi kwa kasi ya ajabu sana.
Zarina ni muda sasa aamue kuondoka akaelee au aendelee kubanana na Wema na kwa hali ilipofikia Diamond hawezi kumuacha tena Wema hata awe aoe Wema ataendelea kuwepo.
Watu wanachamba mule wewe sijui sasa hivi wanachambia wapi wale watuSijui kwanin aliacha na yeye. Blog ilikua stress releaser ile
Naomba tukubaliane, kila mwanaume ni mlaji na gavana huwa ni nyie akinamama. Usione humu watu wanajibaraguza tu ukimletea K katika sahani siamini kuna mwanaume yeyote wa JF including me ataiacha au nadanganya Mzigua90 wangu! Hivyo sioni ajabu kwa Diamond wanawake wanaompelekea katika sahani aziache ati kwa vile Zari yupo Sauz. Usisahau wakati ule Dai alikuwa na usongo na maK ya wengi na hapa anajivinjari tuUkimsogelea Diamond tu,Unapata Mimba.
Kumbe Diamond katuzidi mengi
LabdaaNajaribu kutafakari kutoka angle ingine kabisa. Mwanadada, toka amejifanya anajua kuwachezea mashabiki wake kisiasa, dizaini kama kabuma vile, hasikiki kama hapo awali.
Nadhani anatafuta kuzungumzwa tena coz hiyo video hawakuwa sehemu ya siri kwamba mtu kawanyapianyapia.
Wabongo wamemtapika, analazimisha kurudishwa kinywani.
Daaaah we jamaa hujui Hata kufariji mgonjwaHakuna bikira ambae hajawahi hata kushikwa chuchu, hivyo akiamua kumrejea mshika chuchu zake wa kwanza atamrejea tu
[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]sema hawaachiki watuKauli mbiu ya 2018 ni haachiki mtuu.
Unamaanisha miss Marope?Yule Muhindi sijui mwarabu alikua shemeji wa dada wa taifa? Kumbe nae aliliwa??? Dunia simama nishuke