Wema na Diamond ndio habari ya mjini leo

Mondi knows how to play with people's minds....
 
Ukimsogelea Diamond tu,Unapata Mimba.
Naomba tukubaliane, kila mwanaume ni mlaji na gavana huwa ni nyie akinamama. Usione humu watu wanajibaraguza tu ukimletea K katika sahani siamini kuna mwanaume yeyote wa JF including me ataiacha au nadanganya Mzigua90 wangu! Hivyo sioni ajabu kwa Diamond wanawake wanaompelekea katika sahani aziache ati kwa vile Zari yupo Sauz. Usisahau wakati ule Dai alikuwa na usongo na maK ya wengi na hapa anajivinjari tu
 
Labdaa
 
Diamond kama atakuja kujutia in kitendo chake cha kurudiana Na wema sepeto nahisi itakua sio kweli japo ile ilikua in pati tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…