Wema na Idris ni wapenzi kweli?

Sio huyo Zari tu,hata wema pia ndio haohao,umesahau zile picha za Wema na Idris Mwanza Idris alivyoweka picha kabla haijawekwa filters?
Ikafutwa fastaaaa maana tuliona mapaja yaliyooza
Wanajua Ku ji edit hao hatari aisee na hizi digital camera tena ngoma ukutane naye live. Jf Leo nimekuta notification naona maajabu aisee coz ni long zilikuwa hazionyeshi
 
Nasikia Wema mjamzito eti! Hivi Idriss anaweza kuwa ndio baba.
Ila ilr ndoa yake ya Kiki ilivunjika?
Na ile mimba toka mwaka jana haikui?
Kwa kweli Wema bila Kiki kwisha habari yake.
nasikia juzi katapika washroom.
 
nasikia juzi katapika washroom.
Mhhhhhh watu kwa umbea?Hebu tujuze shost.....
Kwahiyo Idris ndio ana mbegu strong au?
Yule mtoto mdogo nae kujitia mkosi na kurumbembe lile!
Loooh!
 
Wanajua Ku ji edit hao hatari aisee na hizi digital camera tena ngoma ukutane naye live. Jf Leo nimekuta notification naona maajabu aisee coz ni long zilikuwa hazionyeshi
Shoga JF ya sasa imekuwaje tamu?
Ila kuna baadhi ya mijimambo vidogo havijakaa sawa,tuendelee kusubiri huenda wakarekebisha.
 
Miguu sasa!!, kama spoku ya Baiskeli.
Halafu huyu ndio afananishwe na Zari kwa uzuri na Miguu hii iliyo kama ya Mbuni aliyefiwa na mumewe!!!
Mnapata dhambi tu mnaemshindanisha uzuri huyu Wema na Bosslady.
Ha ha ha ha ha mbuni mjane lol
 
Mhhhhhh watu kwa umbea?Hebu tujuze shost.....
Kwahiyo Idris ndio ana mbegu strong au?
Yule mtoto mdogo nae kujitia mkosi na kurumbembe lile!
Loooh!
Hivi hii habari hata warumi kashindwa kuthibitisha kama ni ukweli au vipi lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…