Wema na Idris ni wapenzi kweli?

Hu huuu haya nitabadiliiiii nilishindwa kuvumilia nilikuwa nawasoma tu jamani kukoment nashindwa nikasema nitakufwaaaaaaa kwa kukosa umbea mara mniite marehemu yaan huyu warumi
Hahahahaaa miss you sana mbea mwenzetu,hebu rudi bwana jukwaa lishaanza kuchangamka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…