Wema na Idris waachana

Status
Not open for further replies.
sammatta amekoswa koswa.. saiv zamu ya fransis cheka ajiandae..hahahahahaaa
 
Wote wezi wa umeme tuu hawana jipya.
umeona sijui kesi yao ya wizi imeishia wapi maana wamehama uenda msala wakamwachia mwenye nyumba kwani mita inasoma mwenye nyumba si wema, wema ni mtumiaji anaweza kusema naye alkuta hivyo hivyo
 
Taarifa za kiinteligensia zinathibitisha kwamba Wema bado ni mjamzito na bado anadate na Idris, wamezuga tu ili kuondoa attention ya mimba
 
Wema ni malaya hilo halina ubishi, hela yako tuu
 

Wewe una mtazamo chanya na mwenzio ana mtazamo hasi......kwa hiyo kuelewana hapo ni mpaka Ngorongoro ihamie ugogoni!!
 
napata picha kama watanzania wangekuwa makini hivi kufwatilia biashara zao kazi zao, masomo yao tungekuwa mbali ila sasa daahhh. na hizi university promotion nazo zimachangia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…