Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Yaan nimecheka mtu anaanzisha uzi huku hajui anachokiongea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jaman ukiamua kuwa mbea ujue na kufanya utafiti....Wema hayupo tz ila mtoa uzi anasema katoswa[emoji16]Chaaaa...wema hayupo bongo, na angekuwepo angefosi tu kwenda kwa aunt, yule demu kajipindia!