Wema ni chanzo cha matatizo, roho mbaya ni kinga dhidi ya majanga

Wema ni chanzo cha matatizo, roho mbaya ni kinga dhidi ya majanga

Habarini za usiku wana JamiiForums,

Aisee, katika vitu nimejifunza tena kwa ushuhuda katili kweli kweli, kamwe usimuamini kiumbe anayeitwa BINADAMU maana kubadilika/ kukubadilikia ni sekunde.

Katika maisha yangu nimesaidia watu wengi sana ikijumuisha ndugu, marafiki na watu baki ambao kwa huruma ya changamoto ambazo wanapitia nilishawishika kufanya hivo, sijawahi hata siku moja na sikuwasaidia kwa kutaka malipo yeyote bali nina roho ambayo nikiona mtu anapitia changamoto na nina uwezo wa kumsaidia basi nitafanya.

Imagine unampatia mtu permanent contract, ulipomtoa alikuwa na hatihati ya kufukuzwa, hivi sasa amekuwa adui mkubwa sana kwangu. Anakosoa kila unachofanya tena waziwazi, msimamo wangu tayari awali ulikuwa mwiba kwa wengine na wamefanikiwa kumwin sasa wameunda genge na wanapambana kweli kweli dhidi yako.

Now, imani kwa mabosi wako imepungua kwa sehemu kubwa sana, mengi yalokuwa ndani ya majukumu yako hivi sasa unaona wameingilia na wanafanya pasipo wewe kuwa na taarifa yeyote, mengi unakuja kutambua kwenye management meetings.

Binafsi si mtu wa kujikomba, kuabudu, kujipendekeza, au kuwa chawa ofisini as means ya kusurvive ofisini. To some extent naona as days go by wamewin trust from the management ambayo mostly hawako Tanzania.

Nina amini zaidi katika taaluma, ujuzi, uzoefu, na ndo njia pekoe ambayo imekuza career yangu kwa zaidi ya miaka 8 kufikia level niliyopo ambayo siwezi kudisclose.

Njaa ni kitu kibaya sana, na shibe hupumbaza watu. Watu wasiokuwa na shukrani kama hawa, hupelekea vijana wengine kukosa watu wa kuwashika mkono kwa kuogopa/ kuhofia mbeleni yataibuka kama haya.

Nimetafakari sana, mwisho nimeamua kukaa kimya, natambua itaniumiza ila muda sahihi utafika na ukweli wote utakuwa wazi.

Kwa ninayopitia, sidhani kama nitakuja kusaidia tena binadamu suala la kazi hasa ofisi moja. Nimejifunza pakubwa sana, na Mungu anipe hekima ya kudeal na yanayoendelea kwa sasa.
Panda mti usiotegemea kutumia kivuri chake, saidia mtu usitegemee kulipwa chochote ukitegemea kulipwa ukafanyiwa vibaya mwisho utajilaumu tuu
 
Habarini za usiku wana JamiiForums,

Aisee, katika vitu nimejifunza tena kwa ushuhuda katili kweli kweli, kamwe usimuamini kiumbe anayeitwa BINADAMU maana kubadilika/ kukubadilikia ni sekunde.

Katika maisha yangu nimesaidia watu wengi sana ikijumuisha ndugu, marafiki na watu baki ambao kwa huruma ya changamoto ambazo wanapitia nilishawishika kufanya hivo, sijawahi hata siku moja na sikuwasaidia kwa kutaka malipo yeyote bali nina roho ambayo nikiona mtu anapitia changamoto na nina uwezo wa kumsaidia basi nitafanya.

Imagine unampatia mtu permanent contract, ulipomtoa alikuwa na hatihati ya kufukuzwa, hivi sasa amekuwa adui mkubwa sana kwangu. Anakosoa kila unachofanya tena waziwazi, msimamo wangu tayari awali ulikuwa mwiba kwa wengine na wamefanikiwa kumwin sasa wameunda genge na wanapambana kweli kweli dhidi yako.

Now, imani kwa mabosi wako imepungua kwa sehemu kubwa sana, mengi yalokuwa ndani ya majukumu yako hivi sasa unaona wameingilia na wanafanya pasipo wewe kuwa na taarifa yeyote, mengi unakuja kutambua kwenye management meetings.

Binafsi si mtu wa kujikomba, kuabudu, kujipendekeza, au kuwa chawa ofisini as means ya kusurvive ofisini. To some extent naona as days go by wamewin trust from the management ambayo mostly hawako Tanzania.

Nina amini zaidi katika taaluma, ujuzi, uzoefu, na ndo njia pekoe ambayo imekuza career yangu kwa zaidi ya miaka 8 kufikia level niliyopo ambayo siwezi kudisclose.

Njaa ni kitu kibaya sana, na shibe hupumbaza watu. Watu wasiokuwa na shukrani kama hawa, hupelekea vijana wengine kukosa watu wa kuwashika mkono kwa kuogopa/ kuhofia mbeleni yataibuka kama haya.

Nimetafakari sana, mwisho nimeamua kukaa kimya, natambua itaniumiza ila muda sahihi utafika na ukweli wote utakuwa wazi.

Kwa ninayopitia, sidhani kama nitakuja kusaidia tena binadamu suala la kazi hasa ofisi moja. Nimejifunza pakubwa sana, na Mungu anipe hekima ya kudeal na yanayoendelea kwa sasa.
wema usizidi uwezo
 
kama unawezo wa kusaidia saidia, wema wako hauozi kama hutakuja kulipwa wewe bas kizazi chakob kitanufaika na matunda ya wema wako

stori yangu iko tofauti na ww,**** jamaa alitaftiwa kazi na mtu wa ambaye walisoma wote huko nyuma, sasa anajutia msaada na ameamua kumfungia viooalimtoa tangu hajajipata, anampigia sim anamwambia mbona mwezi huu hujanitumia hela ya asante mimi mambo yangu yamevurugika, so imagine wewe unamsaidia mtu humdai mwengine huko ni denina usumbufu,Mungu kajumba hivo dunia kwa uwiano tofauti,tungekua wote tuna roho kama yako nzuri dunia ingeboa sana
Kama mlikubaliana kuwa kila mwezi utoe Asante tekeleza ahadi ndugu. Hapo wewe ndio unashida
 
Ndugu elewa ukiwa unamwokoa nge kwenye kifo usidhani hatakuuma kwasababu asili yake nikuuma hata umuokoe bado atakuona adui hiyo ni asili kuna watu asili yao ndio hivyo huwa wanashindwa kujionyesha uhalisia wao sababu hana uwezo au hajafikia hiyo nafasi.

Tambua watu hubadilika kulingana na mazingiza na mabadiliko ya kiuchumi.
Kuna ambae akiwa kwao kijijini anakua mpole ila ukimleta mjini anabadilika hadi wewe uliemleta anakuona mbaya yaani unaweza msaidia mtu mchele mboga yaani kila kitu kasoro kibiriti cha kuwashia jiko la gesi lakina akakutangaza umemnyima kibiriti usishangae kaka.

Kuna ambae akiwa hana pesa anakua mpole muunganishe na kazi au mpe kazi atabadilika bila kukutambua

Ila usiache kusaidia wengine kumbuka kunawengine wanaitaji msaada wako ila hao sii kama nge ni kama jongoo au konokono tu hawana shida japo wanaweza wasiseme asante ila mtaachana kwaamani hata mkikutana hamnashida.

Mimi siwezi kusaidia mtu tena hua namwelekeza pita hivi imetosha unavyoona watu wanasema wananyanyaswa na ndugu zao wote sio kweli bali kila atakachokifanya anajiona yupo sawa na ukitaka aishi kwa namna hii anasema ananyanyaswa nibora kumsaidia mtu mwingine kuliko ndugu usitoe msaada bila kujua unampa msaada mtu wa namna gani nasema hiviiii? USIMSAIDIE MAMBA UKAMHIFADHI KWENYE SWIMING POOL YAKO, USIFUGE MAMBA KWENYE KARAI.
Ukiwa unampa punda chakula usimpe bali mtupie.
Usimpe mbwa chakula ikiwa unajua utachukua hiyo sahani akiwa bado anakula utapigwa jino yeye hatajua kama ulimpa au unataka kuwekea nyama ataona unamnyang'anya na hapo atakuhukum chap na ndio binadam tulivyo usisahau asili yetu.
 
wema unaponza jaman yaliyonikuta sina hamu ungekuta naitwa chizi naokota makop
yule unaye mpa msaada
hugeuka kuwa adui namba moja
kama unauwezo wa kusaidia
nenda kwenye vituo vya watoto yatima au mahospitalin saidia
au msaidie mtu ambae hakujui wala humjui na si mahali pa kazi nimejifunza
 
Pole sana ndugu yangu.Mara nyingi patokeapo chuki,ujue wema ulitangulia.Story yako inataka kufanana na ya kwangu.

Japo mimi imetokea kwa marafiki na wengine ndugu zangu kabisa.

Binadamu hawana wema.Lakini pia Mungu anaweza kukuacha ukapigwa storms hadi ukashangaa kwamba inakuwaje sisi ambao tupo kwa Mungu wala hatuendi kwa waganga tunaaibishwa hivi wakati kuna wajinga flani tu kila siku kwa waganga na wanazidi kufanikiwa?

Kwa nini Mungu kuna kipindi anachelewa kuwajibu wenye haki?

MUNGU uliye hai kwa nini usijifunue haraka kwa watu wema ili wabaya wakuone wewe na kupata ushuhuda kuwa upo wakurudie wewe?
Risk kubwa ni pale Mungu anapokua amekujibu lakini wewe bado hujui na unaendelea kumuomba.
 
Habarini za usiku wana JamiiForums,

Aisee, katika vitu nimejifunza tena kwa ushuhuda katili kweli kweli, kamwe usimuamini kiumbe anayeitwa BINADAMU maana kubadilika/ kukubadilikia ni sekunde.

Katika maisha yangu nimesaidia watu wengi sana ikijumuisha ndugu, marafiki na watu baki ambao kwa huruma ya changamoto ambazo wanapitia nilishawishika kufanya hivo, sijawahi hata siku moja na sikuwasaidia kwa kutaka malipo yeyote bali nina roho ambayo nikiona mtu anapitia changamoto na nina uwezo wa kumsaidia basi nitafanya.

Imagine unampatia mtu permanent contract, ulipomtoa alikuwa na hatihati ya kufukuzwa, hivi sasa amekuwa adui mkubwa sana kwangu. Anakosoa kila unachofanya tena waziwazi, msimamo wangu tayari awali ulikuwa mwiba kwa wengine na wamefanikiwa kumwin sasa wameunda genge na wanapambana kweli kweli dhidi yako.

Now, imani kwa mabosi wako imepungua kwa sehemu kubwa sana, mengi yalokuwa ndani ya majukumu yako hivi sasa unaona wameingilia na wanafanya pasipo wewe kuwa na taarifa yeyote, mengi unakuja kutambua kwenye management meetings.

Binafsi si mtu wa kujikomba, kuabudu, kujipendekeza, au kuwa chawa ofisini as means ya kusurvive ofisini. To some extent naona as days go by wamewin trust from the management ambayo mostly hawako Tanzania.

Nina amini zaidi katika taaluma, ujuzi, uzoefu, na ndo njia pekoe ambayo imekuza career yangu kwa zaidi ya miaka 8 kufikia level niliyopo ambayo siwezi kudisclose.

Njaa ni kitu kibaya sana, na shibe hupumbaza watu. Watu wasiokuwa na shukrani kama hawa, hupelekea vijana wengine kukosa watu wa kuwashika mkono kwa kuogopa/ kuhofia mbeleni yataibuka kama haya.

Nimetafakari sana, mwisho nimeamua kukaa kimya, natambua itaniumiza ila muda sahihi utafika na ukweli wote utakuwa wazi.

Kwa ninayopitia, sidhani kama nitakuja kusaidia tena binadamu suala la kazi hasa ofisi moja. Nimejifunza pakubwa sana, na Mungu anipe hekima ya kudeal na yanayoendelea kwa sasa.
Pole sana, niliacha kusaidia hata ndugu
 
Wema ni mbaya sana kama utatenda wema ukasubiri shukran , ila wema ni jambo jema sana, kama utatenda wema na kwenda zako.
 
Unapomsaidia MTU usiweke ile nia ya kusubiri kulipwa na huyo MTU uliyemsaidia maana utalipwa kwa njia tofauti.

Kinachofanya watu mliosaidia watu kuishi kwa mashaka ni pale mnaposaidia mkiwa mnanungunika Sana .this is hell.


Ukiona unataka msaidia MTU Ila unaumia nakushuri huyo MTU usimsaidie maana wewe unakuwa hauja-Qualify kusaidia.


Giver hawezi kuwa taker and taker hawezi kuwa Source.

Na mwisho watu weusi hawajawa na ufahamu wa mambo mengi so play but play precautionary.
 
Back
Top Bottom