Wema, Sasa tunaanza kupata picha kuhusu Diamond..

Wema, Sasa tunaanza kupata picha kuhusu Diamond..

Wakubwa kula siku nasikia wema wema,niugonjwa gani huo?usije ukawa hatareee kuliko ngoma nijuzeni tafadhari
 
Itakua karogwaaa siwezi kumuacha mwanaume anaenipa mafanikio anajua shida zangu pia raha yangu kisa kamwanaume kanacheza ngololo kenyewe ni kupiga pumbu tu lol,jana kwenye kipindi chake analiliaa milion Nne ingekua zaman angesemaa "basi haina shida pesa ndogo hiyo lakin kafuliaa mpaka jana kaliaa atamiss sana clement

Hahahaaa...lol..
 
Dah , wema ----- sana, kajikosesha mengi sana kwa yule mzee , mtu kila kitu anapata halafu anazingua, hata kama uyo clement hamkolez c angekuwa anacheat kisiri tu maisha yanaenda sasa yeye kaenda mazima limefulia linahangaika kama tahira , kashafulia ma body guard wamemkimbia kabak na ndomo wake , dah wema pumbu sana

Hebu nipeni contact za clement mie niwezeshwe!
Cc. Gossipcopwarumi.
lusungo
Heaven on Earth
Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
Kufulia na uzee,ogopa sana hivi vitu vikikunyemelea kwa wakati mmoja.
 
Itakua karogwaaa siwezi kumuacha mwanaume anaenipa mafanikio anajua shida zangu pia raha yangu kisa kamwanaume kanacheza ngololo kenyewe ni kupiga pumbu tu lol,jana kwenye kipindi chake analiliaa milion Nne ingekua zaman angesemaa "basi haina shida pesa ndogo hiyo lakin kafuliaa mpaka jana kaliaa atamiss sana clement

Ahahahaaaa!! hataree.
 
Back
Top Bottom