Viral swapping.........nothing else......this Diamond guy will end up with a Complex Viral Combination (CVC)
kama angekuwa na hela angetembelea opa ??wakati Wema anachezwa na wanaume tuliona poa vp kwa Diamond? Endelea kaka,play them all na kila atakayejipitisha mbele yako. You got money,what else do you need? Av funny bro.
nina wasi wasi na iq yako .who are these? Afu kama hamjui kiswahili muache. Huwezi kusema diamond wake. Hapo ni diamond yake au almasi yake
teh teh teh teh ....south africa ndio umeona pa kupumzikia?? Naulizaaaaaaaaaaaaakaenda mapumziko south africa wiki nzima, vp alitumia mawe? Nauliza
you say what???
Mwenye kipara nae kamla??
Kuna mtu alisema kuwa eti kuna md wa bank wakacha tunaitafuta ni bank nani na huyo md ni nani
mbona umepost ki u-turn u-turn??
mwenye ufafanuzi wa hili............ Ufafanuzi plizzzzzzzzz
mhusika??
Usiogope hapa we dare to talk openly
HII KITU NIMEKIPATA KWA MSAADA WA MTANDAO WA DUBAI
Dah wana uturn ni kwa masikitiko makubwa mno nawaletea habari hii, Jokate kamnyakua Diamond kutoka kwa wema. Yani navyowaeleza ni kwamba kwa siku nne mfululizo diamond alimwacha wema peke yake nyumbani kwake na kwenda kukaa hotelini na jocate.
Kwa kweli mie kama mwanamke imeniuma Jocate anaelewa kabisa hii couple kila mtu anaikubali kwanini aingilie mapenzi yao?
Alafu nilidhani ni siri kumbe sio siri naona hata magazeti ya udaku leo wamerusha hii habari.
Dah wana uturn ni kwa masikitiko makubwa mno nawaletea habari hii, Jokate kamnyakua Diamond kutoka kwa wema. Yani navyowaeleza ni kwamba kwa siku nne mfululizo diamond alimwacha wema peke yake nyumbani kwake na kwenda kukaa hotelini na jocate.
weka full adress ya huo mtandao wa DUBAI
ingekuwa huwajui kweli hata hi thread usingefungua!!!!kwakuwa unaleta unafiki subiri nikuambie hao ni nani!vijana wadogo wakali wa bongo!wema ni kicheche kisichoisha hamu,diamond ni bwana mdogo anayetisha katika uimbaji na pia ni sexy symbol,jokate ni kicheche underground kinachopenda dudu kubwa!
Wema
Jokate
ndio maana anagombaniwa na wadada??uschoelewa nini apo we ctu...ushaambiwa wanapenda d.u.du kubwa ya beby wao...kile kiroba kimekulia apo ushenzini t.and.le mshedede bamia nane za kuunga uyo geti kali mlokole wa masaki akwepee wapi..basi ukute in the mawazo video making jamaa akaamua maksudi amuonyeshe dogo!!..hehee who the hell is hashim