nafikiria cha ku comment but naona ntajivunjia heshima.
i am too old for this...
Halafu nashangaa hii mada mpaka sasa bado haijafungwa maana ile ya Mwamvita kula bata Dubai tayari ishapigwa kufuri. Sijui ni vigezo hani tu ambavyo hutumika kuzifunga mada.
kwa nini ifungwe?
si ma celebrity ndo hawa?au?
Sasa kwa nini ya Mwammy imefungwa? Au yeye si selebu?
u celeb wake unaweza kubishaniwa..je kila mfanyakazi wa voda ni celeb?
kila mtoto wa makamba ni celeb?....
but kama wewe ni former miss tanzania na unaigiza na bwana wako anaimba hapo hakuna ubishi kuwa nyinyi ni ma celeb....
WemaJokate
Oh haya bana, hamna neno wala ubishi toka kwangu. Ngoja niendelee kusoma maoni ya wapondaji.
Halafu nashangaa hii mada mpaka sasa bado haijafungwa maana ile ya Mwamvita kula bata Dubai tayari ishapigwa kufuri. Sijui ni vigezo hani tu ambavyo hutumika kuzifunga mada.
wapondaji?
hivi kwa nini wabongo tunaweza kumponda wema na wengine
lakini tusiwaponde kina Kim k na Rihanna?....is it the hate we have for ourselves inajitokeza thru kwa ma celeb wetu????
Kuponda ni kawaida tu ya walimwengu. Hata Kimmy naye majuu kapondwa sana tu. Ila kwa vile Wema na wenzake wako karibu ndo maana wanapondwa zaidi na wabongo. Sidhani kama kwenye ma-forum ya Waghana wanamjua hata huyo Wema ni nani.
Ila pia hata hiyo 'hate' uliyoizungumzia wewe nayo pia ipo. Usije shangaa siku wewe Boss ukinunua Maserati yako kwa hela zako mwenyewe halafu wengine wakakasirika.
nazungumzia mbongo kumponda wema na kumfagilia kim k...
kim kapondwa na kwao..but unakuta mbongo anamuona kim wa maana sana
na anamuona wema wa ovyo saana....mi sioni tofauti....
Oh nimekuelewa. Nadhani ukisoma signecha yangu unaweza ukapata jibu...
AND WHAT ARE YOU ??
Watch ur tongue!