Askari wa miguu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 344
- 124
wakati Wema anachezwa na wanaume tuliona poa vp kwa Diamond? Endelea kaka,play them all na kila atakayejipitisha mbele yako. You got money,what else do you need? Av funny bro.
kama angekuwa na hela angetembelea opa ??
na nyumba ya kupanga??
NAULIZAAAA
We unavyo? Nauliza[/QU Sawa sawa Askari wa Ukweli, muulize huyo
Opa nimemnunulia mdogo wa mke wangu anatumia kwenda nayo Kazini bandarinii pale sina hadhi ya kuendesha opa Mkuu
na mimi sio star
NASIKITIKAAAAAAAAAAAAAAA
Opa nimemnunulia mdogo wa mke wangu anatumia kwenda nayo Kazini bandarinii pale sina hadhi ya kuendesha opa Mkuu
na mimi sio star
NASIKITIKAAAAAAAAAAAAAAA
wakuu
Si inasemekana Wema ameisha kumegwa na Kapteni Komba?
wakuu
Si inasemekana Wema ameisha kumegwa na Kapteni Komba?
omg!! Tell me you are joking.
omg!! Tell me you are joking.
Kumbe kuwa Celeb ni kumwegwa megwa....au????
Au Wema ni Celeb wa kumegwa? Kwa maana hajachukua role yoyote ya kijamii zaid ya ngono na kuvaa nusu uchi......
Imagine ni scenario.. Wema vs Komba! Lile tumbo jamaa sijui alifikiaje???
OOh I have goot it: wema aliikalia.....
watu wakiamua kukuchafua.....hivi Komba siku hizi anadinda na ukuwadi kamuachia nani?
Diamond ni mchezea wanawake tu!! Wema ndugu yangu nae alishindwa tu kupambanua mambo, wewe hiyo pete unavishwa na mtu akiwa hi na mibangi kichwani tena amelewa chakari, hakuna cha kwenda kwa wazazi na kutangaza nia..........amekaa ndani ya nyumba na kujiona amefika yeye ndo mama mwenye nyumba(Mrs Diamond)., Masikini, kweli wanawake sisi Mungu atuhurumie tu kwani saa nyingine sijui akili zetu tunaweka wapi pindi tukutanapo na mijanaume na kujiona tumefika nymbani!! Kama wenye ndoa zao huwekea nyumba ndogo pembeni itakuwa Wema uliyewekwa kinymba?? wakati umefika sisi wanawake tutambue kuwa wanaume hata wapewe nini hawafugiki ndani ni kama wamelaaniwa vile........
Wema my ndugu kama unapita huku JF, jaribu tu kutafuta life yako, kama ni vidume vipo tu vingi mtaani utapata kwa wakati wake. thamani yako iko wapi hata kama utajiheshimu vipi? heshima ni kuheshimiana, kama huyu diamond leo yuko na jack, jokate nk...(na hao ni hawa unaowajua, je usiowajua) anakudahlilisha tu mtaani. Tupa kuleeee n take ur life
Ila MIJANAUME NDIVYO ILIVYO.... HATA IPEWE NINI LAZIMA TU IONJE ONJE
Opa nimemnunulia mdogo wa mke wangu anatumia kwenda nayo Kazini bandarinii pale sina hadhi ya kuendesha opa Mkuu
na mimi sio star
NASIKITIKAAAAAAAAAAAAAAA