Wema Sepetu adai Jokate Mwogelo kamuibia Diamond wake

Wema Sepetu adai Jokate Mwogelo kamuibia Diamond wake

Back on track once again,stil giving a lot ov support kwa fellow world player,DIAMOD. Thts hw playerz we do our things.. HATERS COPY N PASTE THAT
 
Opa nimemnunulia mdogo wa mke wangu anatumia kwenda nayo Kazini bandarinii pale sina hadhi ya kuendesha opa Mkuu
na mimi sio star
NASIKITIKAAAAAAAAAAAAAAA

Kwa umri wake its ok. Fikiria wewe umri wa 22 ulikuwa navyo na ungeweza kwenda kujirusha SA? Akifikia your age may be atakuwa zaidi yako.
 
Opa nimemnunulia mdogo wa mke wangu anatumia kwenda nayo Kazini bandarinii pale sina hadhi ya kuendesha opa Mkuu
na mimi sio star
NASIKITIKAAAAAAAAAAAAAAA

Kumbe una familia unajishndanisha na bw mdogo! Jiulze ulikuwa na hela kama zake wen u wea his age? Teh teh aliyekula kala tu, big up diamond
 
wakuu
Si inasemekana Wema ameisha kumegwa na Kapteni Komba?
 
wakuu
Si inasemekana Wema ameisha kumegwa na Kapteni Komba?

Kumbe kuwa Celeb ni kumwegwa megwa....au????

Au Wema ni Celeb wa kumegwa? Kwa maana hajachukua role yoyote ya kijamii zaid ya ngono na kuvaa nusu uchi......

Imagine ni scenario.. Wema vs Komba! Lile tumbo jamaa sijui alifikiaje???

OOh I have goot it: wema aliikalia.....
 
Kumbe kuwa Celeb ni kumwegwa megwa....au????

Au Wema ni Celeb wa kumegwa? Kwa maana hajachukua role yoyote ya kijamii zaid ya ngono na kuvaa nusu uchi......

Imagine ni scenario.. Wema vs Komba! Lile tumbo jamaa sijui alifikiaje???

OOh I have goot it: wema aliikalia.....

Jamani si kuna CHUMA MBOGA ha ha ha ha ha
 
watu wakiamua kukuchafua.....hivi Komba siku hizi anadinda na ukuwadi kamuachia nani?
 
:-DHaha unaniuwa ati raisi wa Ghambian anatibu watu ukimwi na ndizi huyo kituko sana au hakusoma nini watu wanao muamini raisi huyo hamna tofauti na watu wanao muamini BABU. Nimecheka mpaka nimetaka kujikojolea hahahaha
 
jaman msimlaumu diamond kwa ile jaman mnazijua fursa au unazisikia,wanaume wa kibongo 99% hawawezi chomoka kwa mrembo kama huyu wakipata nafsi! mpe pole na ushaur kijana ila kiukweli ngumu kushinda ii
 
Acha kukashifu wanaume wewe uyo wema unaemsifia wanaume wangapi kashatemana nao na kwanini yeye tu kila siku wema kunguru tu hafugiki
Diamond ni mchezea wanawake tu!! Wema ndugu yangu nae alishindwa tu kupambanua mambo, wewe hiyo pete unavishwa na mtu akiwa hi na mibangi kichwani tena amelewa chakari, hakuna cha kwenda kwa wazazi na kutangaza nia..........amekaa ndani ya nyumba na kujiona amefika yeye ndo mama mwenye nyumba(Mrs Diamond)., Masikini, kweli wanawake sisi Mungu atuhurumie tu kwani saa nyingine sijui akili zetu tunaweka wapi pindi tukutanapo na mijanaume na kujiona tumefika nymbani!! Kama wenye ndoa zao huwekea nyumba ndogo pembeni itakuwa Wema uliyewekwa kinymba?? wakati umefika sisi wanawake tutambue kuwa wanaume hata wapewe nini hawafugiki ndani ni kama wamelaaniwa vile........

Wema my ndugu kama unapita huku JF, jaribu tu kutafuta life yako, kama ni vidume vipo tu vingi mtaani utapata kwa wakati wake. thamani yako iko wapi hata kama utajiheshimu vipi? heshima ni kuheshimiana, kama huyu diamond leo yuko na jack, jokate nk...(na hao ni hawa unaowajua, je usiowajua) anakudahlilisha tu mtaani. Tupa kuleeee n take ur life

Ila MIJANAUME NDIVYO ILIVYO.... HATA IPEWE NINI LAZIMA TU IONJE ONJE
 
Opa nimemnunulia mdogo wa mke wangu anatumia kwenda nayo Kazini bandarinii pale sina hadhi ya kuendesha opa Mkuu
na mimi sio star
NASIKITIKAAAAAAAAAAAAAAA

We ni mwongo! Hapo juu umejíidentify kama mwanamke..Jokate na Wema ni wanawake wenzako..iweje ununue gari la mdogo wa MKEO?
 
w.jpg
 
Back
Top Bottom