Wema Sepetu adai kuwa "hana mpango wa kuolewa na mtanzania"


duh,msimamo mzuri sana huu!!kip it up
 

kweli hata mimi napata huruma sana,umri nao ndio unamkimbia kila kukicha
 
Acha hasira baby, si Diamond tu hata mimi ninao mguu wa mtoto njoo niongezee kukipindua kizazi.
 
Wema mdogo wangu haufanani na jina lako.. matendo yako yalipaswa yaendane na jina lako... waume mbona bongo wapo kibao tu.. tulizana mama.. mtu akiamua kukuharibia hata uolewe na mjapani atakupata tu.. tulia tulia tulia.. jaribu angalau mwaka upite tusikusikie magazetini ..wapo machakaramu wengi tu mjini hapa unasikia wameolewa lakini kwasababu waliamua kutulia.. hata wewe nakusisitizia.. achana na u super star unakuponza.. tulia utaolewa.
 
Hakuna mtu wa kumwoa hapa ila wa kumtiatia watakuwepo coz hakuna mwanaume atakayeamua kuoa BP ya nini bwana, na hata wa kumtiatia naona mwisho watakosekana kwa kuogopa maradhi, coz kisha gawa kwa watu kibao wa size tofauti
 
Hakuna mtu wa kumwoa hapa ila wa kumtiatia watakuwepo coz hakuna mwanaume atakayeamua kuoa BP ya nini bwana, na hata wa kumtiatia naona mwisho watakosekana kwa kuogopa maradhi, coz kisha gawa kwa watu kibao wa size tofauti

kumpata atapata sema tu inabidi aache tabia ya kuanika mambo yake. hata sisi au wenzi wetu tungekuwa tunaandikwa kama yy sidhani kama kuna mtu angedumu katika mahusiano. kikubwa tu anatakiwa ajipange na kubadili tabia hamna mtu aliyekamilika.
 

upo sahihi kabisa. huyu binti akitulia kwa dhati atapata tu wa kumwela ndani. ila kwa life style hii dah yahitaji kichwa cha mwendawazimu kumuhandle kama wife.
 
Mamuzi yake mwenyewe hata akitaka kuolewa mwezini ni yeye2.
 
Huyu mtoto was soooo beautiful, tena angepata mume mzuri tu! Ila ndio hivyo, supu kaitia nazi hainyweki kwa wahapa hapa! Labda aipeleke mbaaaaaliiiii! Lol! Tulia wema, maisha haya tunapita!
 
Mi marafiki zangu urafiki unaishia ofisini...hata stori tunazopiga sana sana za magazeti ya shigongo...hakuna cha kutunziana siri.

Mimi sina rafiki wa kike maana nilitendwa sina hamu....................
 
mtu mbele,nyuma kama KAGAWA wala huulizi anapeleka mwenyewe,sa utakuwa umemuoa au umejioa??
 
Usikate tamaa Wema kama shida yako ni kuolewa, utaolewa tu kwani najua Mungu hupanga kila mtu na wake hata wewe una wako ambaye ana tabia kama zako.
 

hhee,leo umeongea kwa hekima
 
Usikate tamaa Wema kama shida yako ni kuolewa, utaolewa tu kwani najua Mungu hupanga kila mtu na wake hata wewe una wako ambaye ana tabia kama zako.

kweli,tumpe faraja
 
Huyu mtoto was soooo beautiful, tena angepata mume mzuri tu! Ila ndio hivyo, supu kaitia nazi hainyweki kwa wahapa hapa! Labda aipeleke mbaaaaaliiiii! Lol! Tulia wema, maisha haya tunapita!

ma-carolite hayo jamani,she waz mwaahhh!
 
kuna wanaume wachafu zaidi yako wema mpaka shetani anawaogopa... Unachotakiwa fanya ni kumuomba shetani wako mkuu akukutanishe nao...
Na kweli hapa BONGO huwapati ..labda chni ya bahari(kuzimu).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…