Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maneno ya mkosajiHana jipya rafiki yake(snura) kamchana kamwambia kuna mambo anayofanya wema akiamua kuyaadithia hakuna mtu atakayemtamani,amesisitiza kwamba watu wanamuona wema kama mungu wakati yeye anasema wema ni wa kawaida sanaaaaaaa!
kwani hao mabwana anaotembea nao tunawajuaje?si ni yeye mwenyewe anajitangazia,akiwa na bwana anataka kila mtu ajue,kwa hiyo watu hawamuharibii,anajiharibia mwenyewe!zile picha anazopiga nao na kuzitangaza mitandaoni?halafu ajue utandawazi sasa dunia ni kama kijiji,asidhani huko kwingine hawasomi taarifa zake,wanamjua.ye aamue kubadilika,waume wapo hata bongo!