Wema Sepetu adai kuwa "hana mpango wa kuolewa na mtanzania"

Wema Sepetu adai kuwa "hana mpango wa kuolewa na mtanzania"

Sometimes tusiwalaumu sana hawa 'bongo celebrities'. Hawana elimu. Hebu angalia mambo anayoyafanya Hemed sijui PHD, hakuna elimu kabisa. Aisee warudi shule
 
Hana jipya rafiki yake(snura) kamchana kamwambia kuna mambo anayofanya wema akiamua kuyaadithia hakuna mtu atakayemtamani,amesisitiza kwamba watu wanamuona wema kama mungu wakati yeye anasema wema ni wa kawaida sanaaaaaaa!
Maneno ya mkosaji
 
Hvi kwann Wema na Hemed wasifungishwe ndoa? nahc hzi kelele ztaisha....................
 
Nani Tanzania hii atakuwa na ujasiri/ujuha wa kumuoa Wema!??
 
Hata huyo wa nje akijuwa tabia zake tu atamuacha. Ni bora zimwi likujualo, lile ambalo halikujui na likishakujua unakoma!!! Ila ana tabia chafu mno. Anajiabisha tu.
 
Hata huyo wa nje akijuwa tabia zake tu atamuacha. Ni bora zimwi likujualo, lile ambalo halikujui na likishakujua unakoma!!! Ila ana tabia chafu mno. Anajiabisha tu.

umenena vema mdau!!
 
kwani hao mabwana anaotembea nao tunawajuaje?si ni yeye mwenyewe anajitangazia,akiwa na bwana anataka kila mtu ajue,kwa hiyo watu hawamuharibii,anajiharibia mwenyewe!zile picha anazopiga nao na kuzitangaza mitandaoni?halafu ajue utandawazi sasa dunia ni kama kijiji,asidhani huko kwingine hawasomi taarifa zake,wanamjua.ye aamue kubadilika,waume wapo hata bongo!

true!!!!
 
Haina haja ya kumlaumu sana coz watasha husema "it runs in the family" kama kuna m2 ambaye ashawahi kusikia utumbo na pumba anazoongea mamake wema, bac ataelewa nasema nini.
 
kuna wanaume wachafu zaidi yako wema mpaka shetani anawaogopa... Unachotakiwa fanya ni kumuomba shetani wako mkuu akukutanishe nao...
Na kweli hapa BONGO huwapati ..labda chni ya bahari(kuzimu).

hahahaaaaaa!!
 
Back
Top Bottom