Wema Sepetu afunguka kuhusu siri ya utajiri wake

Wema Sepetu afunguka kuhusu siri ya utajiri wake

Ila duh mengi anayopost ni anaandikiwa na wafanyakazi wake watatu wa kwenye kampuni...
as yupo yeye, baby sijui toto wake petiman, meneja kaka martin na mpiga kideo...aliwaita timu yake watokelezee siku amerekodi home kwa kipindi chake...nadhani anuani ya kampuni ni nyumbani kwake la sivyo angekuwa na pesa tuongeona picha za akionyesha yupo kwenye bonge la ofisi akitafuta kuzalisha zaidi,,na suo mitandaoni kukaa na kutafuta kiki na kuwanyamazia wanaotumia jina lake kutukana watu...
 
ana utajiri wa papuchi jaman mwacheni malkia wemaa!!
 
Nye,matajiri wakisikia watandamana,wema ni tajiri,jamani au mnataka watu.tucheke baada ya stress za kusaka mahela,lo
 
Tuseme kwa siku unatumia 1000 ya vocha kwa mwezi 30,000 kwa mwaka no 360,000 kwahyo hiyo 360,000 ndo mtaji?haya sasa itunze hzo bukubuku mpaka ifike hiyo 360,000 tuone kama utaweza.ila huo utajiri wa wema uko wapi hapo?
 
Wema tajiri wa msururu wa followers insta, tajiri wa wanaume waliom nonihino kwisha. anavyopenda sifa angekua hata na kibanda tungejua. nyumba anayokaa kapanga, japo kutwa anasema kanunua.... Thubutu yake, zingekua zinapatikana kirahisi hivyo kila mmoja angekua nayo. Nywele za mamilioni, kucha za ma laki halafu nyumba ya kupanga... hawana akili kabisa hawa wasanii wa kike, kuonyeshana ufahari wa vivazi, wanasahau kujijengea future. hawajui kuwa maisha wanayoishi muda wake ni mfupi sana. Akifika 30 tu hapo hakuna atekayemuangalia mara mbili. Huu ndio muda wa kujijengea future, lakini hawajui. maisha yako fake tupu.
 
Wema tajiri wa msururu wa followers insta, tajiri wa wanaume waliom nonihino kwisha. anavyopenda sifa angekua hata na kibanda tungejua. nyumba anayokaa kapanga, japo kutwa anasema kanunua.... Thubutu yake, zingekua zinapatikana kirahisi hivyo kila mmoja angekua nayo. Nywele za mamilioni, kucha za ma laki halafu nyumba ya kupanga... hawana akili kabisa hawa wasanii wa kike, kuonyeshana ufahari wa vivazi, wanasahau kujijengea future. hawajui kuwa maisha wanayoishi muda wake ni mfupi sana. Akifika 30 tu hapo hakuna atekayemuangalia mara mbili. Huu ndio muda wa kujijengea future, lakini hawajui. maisha yako fake tupu.

Well said mdada..kula like 100
 
Papuchi nayo n utajiri as ilia na madame anajua kuitumia ipasavyo
 
Back
Top Bottom