Wema Sepetu ajutia kilichotokea katika sherehe ya birthday yake “Sitafanya tena birthday”

Wema Sepetu ajutia kilichotokea katika sherehe ya birthday yake “Sitafanya tena birthday”

Wakati mama wema anaongea hukumuona uncle sele alikuwa anaongea lkn hasikiki coz hakuwa na mic, ndio akawa anaifata mic kwa dada ake lkn ghafla wakamfurusha baada ya wema kuwaambia wamtoe fasta kabla hajachomea betri 🤣🤣🤣🤣
Mjomba alikuwa na jambo zito alitaka alitapike na nasikia alilewa ili asione aibu kulitoa dukuduku lake 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Mtu na dadake walipania kuongea ukweli mchungu yaani liwalo na liwe😀😀😅😅
 
Mtu na dadake walipania kuongea ukweli mchungu yaani liwalo na liwe😀😀😅😅
Walivaa mabomu kulipua, ndiomana mjomba alimchana dada ake tuondoke hapa tutaadhirika 🤣🤣🤣
Dada ake akasema, “wataadhirika wao subiri na uone, hakuna cha cash money wala pangu pakavu. Nawalipua wote had manzi wao”
“Si wanajitia viburi mtoto wetu adange afu wao wakae bure km manunu” 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Walivaa mabomu kulipua, ndiomana mjomba alimchana dada ake tuondoke hapa tutaadhirika 🤣🤣🤣
Dada ake akasema, “wataadhirika wao subiri na uone, hakuna cha cash money wala pangu pakavu. Nawalipua wote had manzi wao”
“Si wanajitia viburi mtoto wetu adange afu wao wakae bure km manunu” 🤣🤣🤣🤣🤣
Kaka yake Frenk au Fredi wamsaidie mdogo wao apate ata chumba kimoja Mbezi😅😅😅

Comment yako imevunja mbavu zangu😂😂😂😂😅😅
 
jichupi kama lile la nandy- ? Embu picha aisee.
Screenshot_20230930-145009.png



Wana kauli yao Mungu anaangalia roho sio mavazi.😅
 
Alkuwepo ila wambea wakamtonya leo ukoo umekupania eti unalala na kunya bure kwa sepenga, na akipiga jicho meza ya ukoo anaona mjomba sele anabalance k-vant na energy km mkemia mkuu.
Akaona hawa kweli wamepania akala njoro 🤣🤣🤣🤣
Siku ile ameyatimba😅😅😅
 
Back
Top Bottom