Mtu na dadake walipania kuongea ukweli mchungu yaani liwalo na liwe😀😀😅😅Wakati mama wema anaongea hukumuona uncle sele alikuwa anaongea lkn hasikiki coz hakuwa na mic, ndio akawa anaifata mic kwa dada ake lkn ghafla wakamfurusha baada ya wema kuwaambia wamtoe fasta kabla hajachomea betri 🤣🤣🤣🤣
Mjomba alikuwa na jambo zito alitaka alitapike na nasikia alilewa ili asione aibu kulitoa dukuduku lake 🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Mjomba hafai,Hivi Whozu alikuwepo kweli siku ile😅😅😅🤣🤣🤣 bado hajazinduka, kasema atawatafuta Mange App amalizie jambo lake
Hawajamfanyia fea kabisa mjomba 🤣🤣Alisogelea mike Wakamvuta pembeni chaaaap pale pasingetosha mjomba sele alidhamiria mapema kabisa kupasua yai viza akamwambia dada yk usiende mbele dada wanakudhalilisha...🤣🤣🤣🤣
Una ambiwa Madalali woteee wa dar wamejazana Dm kwa Whozu wanatangaza vyumba ili apate makazi yake😅😅😅Hawajamfanyia fea kabisa mjomba 🤣🤣
Walivaa mabomu kulipua, ndiomana mjomba alimchana dada ake tuondoke hapa tutaadhirika 🤣🤣🤣Mtu na dadake walipania kuongea ukweli mchungu yaani liwalo na liwe😀😀😅😅
Kosa ni lake Wema katika kuandika speech, nani alimwandikia mama yake hiyo speechMama Wema alidai hapendezwi na mwanaume wake huyo ambaye ni msanii wa muziki jinsi anavyokaa nyumbani kwa mtoto wake bila utaratibu wowote.
Alikuwa pale kuna sehemu kama alibend kidogo ,laana tupu.Yule dada nani sijui alimshauri awe kituko kama yupo kidimbwi.
Kaka yake Frenk au Fredi wamsaidie mdogo wao apate ata chumba kimoja Mbezi😅😅😅Walivaa mabomu kulipua, ndiomana mjomba alimchana dada ake tuondoke hapa tutaadhirika 🤣🤣🤣
Dada ake akasema, “wataadhirika wao subiri na uone, hakuna cha cash money wala pangu pakavu. Nawalipua wote had manzi wao”
“Si wanajitia viburi mtoto wetu adange afu wao wakae bure km manunu” 🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna kipindi alihama kijani akaenda rangi mchanganyikoMwanaye enzi zake ziliisha. Hii ni enzi nyingine
Ndo ampe kwenye birthday ?? Nyumban hawaonaniKwa hiyo Mama kumpa ukweli mchungu hataki,Wema nadhani hayuko sawa kichwani.
Yule Mama inaonekana maneno yake kayarudia mara nyingi wakiwa yeye na mtoto wake yaani wawili ila kaona haeleweki pale kaenda kusisitiza.Ndo ampe kwenye birthday ?? Nyumban hawaonani
Alkuwepo ila wambea wakamtonya leo ukoo umekupania eti unalala na kunya bure kwa sepenga, na akipiga jicho meza ya ukoo anaona mjomba sele anabalance k-vant na energy km mkemia mkuu.Mjomba hafai,Hivi Whozu alikuwepo kweli siku ile😅😅😅
jichupi kama lile la nandy- ? Embu picha aisee.
Siku ile ameyatimba😅😅😅Alkuwepo ila wambea wakamtonya leo ukoo umekupania eti unalala na kunya bure kwa sepenga, na akipiga jicho meza ya ukoo anaona mjomba sele anabalance k-vant na energy km mkemia mkuu.
Akaona hawa kweli wamepania akala njoro 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 Na mie ngoja nimdiem nina nyumba yangu napangisha kwa tumbo bei cheeeUna ambiwa Madalali woteee wa dar wamejazana Dm kwa Whozu wanatangaza vyumba ili apate makazi yake😅😅😅
Ashindwe yeye kijana 😀😀🤣🤣🤣 Na mie ngoja nimdiem nina nyumba yangu napangisha kwa tumbo bei cheee
Sio kidogo, nasikia mama Lola muda wote analewa na kucheza “Ameyatimba” 🤣🤣🤣Siku ile ameyatimba😅😅😅
🤣🤣🤣 Huu mwezi umeisha kibabe sana, kutoka kwa Shabani Madobe mzee wa “Ulisi” wakatutua mpk kwa Whozu manunu na mama mkwe wake 🤸♀️🤸♀️🤸♀️Ashindwe yeye kijana 😀😀