Si ndio hapo wana kazi ya kuwanunulia mademu Hennessy huku mdogo wao yupo km manunu kwa wema 😂😂😂Kaka yake Frenk au Fredi wamsaidie mdogo wao apate ata chumba kimoja Mbezi😅😅😅
Comment yako imevunja mbavu zangu😂😂😂😂😅😅
Miaka 33 etiKwani alikuwa anatimiza miaka mingapi?
😀😀😀Sio kidogo, nasikia mama Lola muda wote analewa na kucheza “Ameyatimba” 🤣🤣🤣
😅😅NomaMwanzo nilijua Faiza 😀😀😀
Kwahiyo wema kanuna!!!
Mama apewe maua yake🌹
Ukweli unauma📌📌
AiseeeeWalivaa mabomu kulipua, ndiomana mjomba alimchana dada ake tuondoke hapa tutaadhirika 🤣🤣🤣
Dada ake akasema, “wataadhirika wao subiri na uone, hakuna cha cash money wala pangu pakavu. Nawalipua wote had manzi wao”
“Si wanajitia viburi mtoto wetu adange afu wao wakae bure km manunu” 🤣🤣🤣🤣🤣
Ibilisi akishakuvaa hata mama yako mzazi unamtusiKwa hiyo Mama kumpa ukweli mchungu hataki,Wema nadhani hayuko sawa kichwani.