Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Yote haya yametokana na ile ultra sound aliyoiweka ndomo,nilijua tu lazima Wema atareact....
Sasa reaction yake ni kama kajikaanga na mafuta yake.
Naanzaje kusahau binamu?tulikua hatukai mjini hapa maana alikua anaringa hatariiii...maembe na ndimu vilikua havikosekani kwenye handbags zake.
Ukimsoma vyema Wema utagundua ana sema kuwa Kanumba ndiye mwanaume pekee aliyeweza kumpa mimba na wengine wameshindwa akiwemo Diamond! Wema kaumizwa na hile picha ya tumbo.