Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,157
picha amevijisha badra baada ya kukomaliwa atimuliwe na wema. kwa kifupi hizo picha ni za wema. ila wema ipo siku utakumbuka hizi chance unazochezea. unapoteza fans kila siku. hakuna mtu anaweza vumilia tabia zako. tumekutapika
picha amevijisha badra baada ya kukomaliwa atimuliwe na wema. kwa kifupi hizo picha ni za wema. ila wema ipo siku utakumbuka hizi chance unazochezea. unapoteza fans kila siku. hakuna mtu anaweza vumilia tabia zako. tumekutapika
Nasikia huyu badra alikua anamchukia Wema zamani.Ina maana alihamia kwa Wema?
ndio alishamtukana sana. wala sio zamani ni mwaka huu huu. badra alichukua nafasi ya aunt kwenye ushoga wao. sema sijui amelogwa huyu yani hawezi kuwa peke yake mpaka aandamwe nyuma kama mkia wa kondoo
wenzangu akina nani miss haha mi nina independent mind tena siko kwenye team yoyote. kwanza simhitaji tena huyu wema alishanichoshaaaaaaWewe unajielewa, na unampenda kwa dhati pasipo unafiki.
Wenzako wengi wanamvaa maimartha na kumtusi matusi ya nguoni kuwa amevujisha hizo picha.
Inamaana maimartha alikua na Wema muda huo? Au ndo yule mwenye vidole vinene?
Matusi na kumsafisha kwa jazba hakusaidii.
Kuwa mkweli kwake kama ivi inasaidia.Sasa Wema apewe somo ya kuweka mambo yake ya chumbani private.Naona amekazana kurusha vijembe insta.
Sasa kwanini ameamua amfukuze?
nikiandika zaidi nitashtukiwa. ila kwa ufupi ni ze so called team (kwa kuombwa na bi mkubwa wake) ilimkalia kooni kumwambia kuwa hafai so afukuzwe
Wema anaiheshimu team yake kama miungu yake.
Wakimwambia atembee mtupu atafanya ivo.
imagine mama ilibidi aombe timu imwambie amfukuze badra (sababu ni kwamba huyu binti ni punda so atamtia matatani)tena mama akaomba asitajwe hahaha hadi huruma
Hahaha wewe funguka mummy
coz we are here just to protect you before tar 1 next month!
Nitakuchek private
mapenzi hayana umri. kama ameamua kusettle nae powa tu. ishu kubwa ya kuangalia ni kashfa zingine zisizo na mpangoDu, Wema naye jamani kama mtoto hakui.
Sasa na kale kabwana mdogo Louis Munana naye anatoka naye?
Maana sio kujishebedua kule.
What do you mean? Hahahah!
Nilisha wai kusema huku kati ya Wasanii ambao wana matatizo ya kichwa Wema ni namba moja kabisa!Wewe unajielewa, na unampenda kwa dhati pasipo unafiki.
Wenzako wengi wanamvaa maimartha na kumtusi matusi ya nguoni kuwa amevujisha hizo picha.
Inamaana maimartha alikua na Wema muda huo? Au ndo yule mwenye vidole vinene?
Matusi na kumsafisha kwa jazba hakusaidii.
Kuwa mkweli kwake kama ivi inasaidia.Sasa Wema apewe somo ya kuweka mambo yake ya chumbani private.Naona amekazana kurusha vijembe insta.
Nasikia huyu badra alikua anamchukia Wema zamani.Ina maana alihamia kwa Wema?
hapo kwenye kutulia ndio tatizo...kutulia ni msamiati mgumu kwa wema. Hakuna tabia inayoniuzi kama ile ya kupenda maisha ya ushost wa kupika, kupakua, kuvaa saresare maua na kulala pamoja.mapenzi hayana umri. kama ameamua kusettle nae powa tu. ishu kubwa ya kuangalia ni kashfa zingine zisizo na mpango