Kumbe haujakaa Chuga Bora Hiace za njiro mara kumi kuna hizo za kijenge mwanama relini au Ungalimited duh!! ni shida gari kila kona limechomelewa na welding linapiga kelele mbaya mpaka hasira hauwezi hata kuweka earphone masikioniHahaahhh vile vihiace vya njiro ni sheeda
Wenzake akina huddah na vera wapo mbali kimafanikio, ye hata nyumba Hana mmhWema ana mupelekea kijana wa watu gundu. Wenzake machangu waliweza kujijenga kimaisha ila Wema yeye anasuguliwa tu.
Hahahhh naendaga njiro mara moja moja nikifkilia kwenda mjini nafkilia hiace full makelele ya mabatiKumbe haujakaa Chuga Bora Hiace za njiro mara kumi kuna hizo za kijenge mwanama relini au Ungalimited duh!! ni shida gari kila kona limechomelewa na welding linapiga kelele mbaya mpaka hasira hauwezi hata kuweka earphone masikioni
Mwanaume wa Dar [emoji40] [emoji40] [emoji40]Daah kwenye hizo comments hadi watoto wakiume wameandika huku wakideka..hatari
Mkuu usihofu.Furaha ya huyu bidada ni kuongelewa kama hivi ufanyavyo wewe, yaani unataka kuniambia mpaka leo bado hujamjua huyu bi dada? Sikazi naandika haya mwenzio kisharudi Dar na yuko anatafuta mwanaume mwingine wa kumtoa kafara na kumchezea akili kama kale kayanki ka Big Brother.
Weee kimenuka huko insta wemq anatukana balaa hahahahaWenzake akina huddah na vera wapo mbali kimafanikio, ye hata nyumba Hana mmh
Lulu amemshinda Wema kwa mbali, kwanza madanga wake hawasemi hadharani.Wenzake akina huddah na vera wapo mbali kimafanikio, ye hata nyumba Hana mmh
Umeonana na HoE? Maana anakutafuta kaja mpaka huku kijijiniWeee kimenuka huko insta wemq anatukana balaa hahahaha
Tushaonana nae zamanii,asante kwa taarifa MwanyasiUmeonana na HoE? Maana anakutafuta kaja mpaka huku kijijini
CC Heaven on Earth
Uta nitafsiri vipi Muungwana nina vidole virefu mbele vimefanya virungu kama njiti za kiberiti ila mzigo kama nimeapizwa kwenye mambo ya shake well after use budi itumike mikono miwili kukung'uta unasema vipi hapo ni ulemavu pia,na kisha uniwie radhi elimu yako hii ni namna ya unajimu au?Ni ulemavu basi hivi vitu huenda kwa uwiano [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Uta nitafsiri vipi Muungwana nina vidole virefu mbele vimefanya virungu kama njiti za kiberiti ila mzigo kama nimeapizwa kwenye mambo ya shake well after use budi itumike mikono miwili kukung'uta unasema vipi hapo ni ulemavu pia,na kisha uniwie radhi elimu yako hii ni namna ya unajimu au?
Nenda Mwanakwenda na nyuma usigeuke ndio njia ya Kenya vuka na utokomee mbali tumekuchoka Dar, ila hatarudi kweli huyu kiumbe kweli? maana Arusha hakuna vigodoro, Hebu kwenda uka wauzie mimba nyoka wakitoka mashimoni.
Malkia wa filamu Wema Sepetu amelikimbia jiji la Dar es salaam na kuamua kuanzisha makazi mapya mkoani Arusha kama alivyodai yeye mwenyewe.
Mwigizaji huyo ambaye kwa sasa yupo mkoani Arusha ameonyeshwa kuvutiwa na jiji la Arusha na kuamua kuwarusha roho mashabiki wake kwa kuwaambia kwamba hatarudi tena Dar es salaam.
“My shouger nikimpenda hovyooo, kweli watu tumetoka mbali, huyu ndiye atakayenifanya nihamie Arusha kwakweli,” aliandika Wema katika picha hiyo hapo juu akiwa na rafiki yake.
Kadiri siku zinavyozidi kwenda mrembo huyo anaonyesha kuendelea kuvutiwa mji wa Arusha.
“Nirudie nini Dar mie, kurudi Dar majaliwa, na sirudi Dar ng’o,” aliandika Wema katika ujumbe wake wa pili.
Hata hivyo uwamuzi huyo umepokewa tofauti na baadhi ya mashabiki wake katika mitandao ya kijamii.
Haya ni maoni ya baadhi ya mashabiki wake.
Hopeolivier24
Dar bila Wema Itawezekana kweli? Itakuwa manispaa maana jiji unaliamishia Arusha
Zai_miss
Kwaiyo ushahamia arusha jamani khaaaa vigoma vyako itakuwaje My mmmh ila umefanya lamaana maana bongo kwa moto arusha Baridi kishezi
Theonerealdully
Utarudi tuu. Watu wa dar miji mingine hamuiwezi hekaheka zenu na mafoleni mwayapenda hivyohivyo
Andymsalali
jamn kwann, rudi bhana, tumekuzoea wenyew kukuona dar
Zeyaabdallah
Wema Rudi home coz matatizo hayakimbiwi dadaangu mpenz Wang.sawa Bali unatakiwa uyakabi
Source: Bongo5
Dah! Haya niji tafakari kwanza.Sasa huo ni ulemavu kamili kama huu View attachment 391170meno makubwa kuliko mdomo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Dah! Haya niji tafakari kwanza.
Nimeona binamu, naona kimemuuma,naye huyu tushamchoka, eeh VP umesikia umbea Wa luluWeee kimenuka huko insta wemq anatukana balaa hahahaha
Twanga foto yake tuone hapaNina vidole vyembamba vifupi ila namshukuru Allah huku chini mzigo ni majaaliwa si mchezo.