Wema Sepetu aliwa Denda Movie Mpya

Yaani hilo la kuanzisha thread [emoji28][emoji28][emoji28]
Mtoa mada ni jipu
 
Jamani wana JF NAOMBA MSAADA
Natarajia kuoa mnamo mwezi wa Tisa. Naombeni michango yenu ndugu zangu, Baba na Mama zangu, Natafuta milion moja kwa ajiri ya kulipia mahali uko Iringa Uheheni. Naomba michango yenu ndugu zangu wapendwa na Mungu atawaongezeapale mtakapo toa
Nawaombea mafanikio mema nyoote NA MUNGU AWABARIKI SANA
Namba yangu ya M-Pesa ni 0756 066 715.
asanteni Jamani
 
Staa wa bongomuvi ameliwa denda live kama yale ya Hollywood katika movie mpya.

Je ndo kuendelea kwa sanaa yetu?


Kuna baadh ya movies za Hollywood scene zinazohusu kugegeduana basi wanagegeduana kweli! #It is all about uhalisia, sometimes....japokua hollywood si BongoMovie!... By the way, nowadays pornography is all around us!
 
Mkuu nenda kule kwenye jukwaa la uchumi, watu kama wewe wanahitajika Sana ili mjadili mambo yenye manufaa kwa jamii. Hawa hawatakuelewa hapa, Sana Sana watakukwaza tu.
Kila mtu na kazi yake, hapa kazi tu!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mtu unasema ni umalaya huu jamanii heloooo ni movie tu.angekuwa gabriel union ungesema yeeess.africansssss ..tanzanianssss jamani kila mtz akifanya kitu kwenu kibaya.hamtaki nanyie muwe juu lol
 
... hata angeliwa uroda live ktk hiyo muvi bado asingeweza kunishawishi kuangalia Bongo muvi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…