Wema Sepetu amtaja mtu anayemzuia kupata mimba

Wema Sepetu amtaja mtu anayemzuia kupata mimba

FROWIN

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2012
Posts
213
Reaction score
84
WEMA SEPETU099.jpg

Ishu ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutopata ujauzito imeshazungumzwa mara kadhaa na hata yeye mwenyewe alishawahi kujitokeza na kuizungumzia lakini safari hii amelizungumzia kwa njia tofauti. Wema ambaye pia ni muigizaji wa filamu, awali alisema sababu kubwa ya kutopata ujauzito ni masuala ya kiafya lakini safari hii ametoa kauli tata ambayo inahusiana na imani za nguvu za giza.

Wema ambaye alifunguka hayo hivi karibuni, anadai kuwa yawezekana marehemu Steven Kanumba anahusika kwenye suala hilo. Mizimu ya Kanumba "Unajua hili suala la mtoto linanisumbua sana yaani na linaniuma kwa sababu napenda watoto sana na pia napenda kuitwa mama, nimehangaika sana katika kuhakikisha nafanikiwa katika hili lakini ndiyo hivyo imeshindikana.

"Serious! Ilifika kipindi yaani nilikuwa nachukia nilipokuwa nikiziona siku zangu, nilikuwa sipendi kukutana na hiyo hali kwa sababu naumia sana lakini ndiyo hivyo baada ya kuhangaika sana inabidi nimwachie Mungu tu. Nahisi kukata tamaa lakini bado sijakata tamaa.
http://www.bongonewstz.com/2015/06/wema-sepetu-amtaja-mtu-anayemzuia.html
 
Ha ha mimi nilijua diamond.naye amezidi na umalaya wake
 
Acheni maneno yenu hayo, nyie mmetoa mimba ngapi au hawara zenu?
 
Kuhangaika sana kupata mtoto maana yake ni kuliwa ngozi sana!?
 
Kama kweli wema anataka mimba ani PM na kama kuna mwingine pia anaweza kunicheck private
 
mimba inaokotwa barabarani?Mungu hawezi kuruhusu mimba bila mwananke kukutana na mwanaume,atafute ndoa kwanza ndo aongelee mimba.
 
Akampe penzi mmasai au mvuvi alafu aone kama ato pata mimba anawapa mapenzi ao vijana laini kama bagia anathani atapata mimba kweli sasa kama diamond anaonekana wakati alivyokuwa mdogo alibemendwa so awezi kuwa na nguvu ya kujaza mimba
 
Back
Top Bottom