Wema sepetu anaweza akapata hadi Tsh billion 1 kwa mwezi.

mimi mwenyewe hata sijaipakua
Hujaipakua au siyo? Sasa unalipia nini?
Acha aibu na uoga mbele ya kitu unachokipenda na ukiwa muongo kumbukumbu ziwe nyingi.
 
Wema kama upo humu.. Nitafute ninawazo zuri zaidi ya hilo kwa mafanikio yako...
 
Kama ataendelea kutumia madawa atapata
 
wajinga ndio waliwao, unatoa kabisa buku kujiunga na ujinga SMFH
Ujinga ni mali ya uma kila mtu anao wa kwake kuana msemo husemwa na waswahili kuwa ujinga huja usiku ili hali wengi wetu tukiwa tumelala hivyo inakua rahisi mno mtu kumuingia wakati wewe ukiona buku nyingi mimi nasema buku kitu gani bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…