Wema sepetu anaweza akapata hadi Tsh billion 1 kwa mwezi.

Sisi tuna subilia SCEENSHORT ZA HABARI ZA HIYO APP. tu kwa bureeeeeeeeeeeee
 
Akituliza kichwa na ikiwa ana mentor makini msishangae akatusua!
Kila la kheri kwake ila aache skendo za kijinga jinga keshakuwa mtu mzima sasa...

Utu uzima ndio kula unga. Kweli taifa la viwanda hili.
 
Kim kardashian style.... Buku kitu gani.wanawake muungeni mkono...
 
ningemshauri afungue kiwanda cha unga wa sembe na aupe jina lake ukirelate sembe na unga atapata hela sana
 
Wabongo wanavyopenda bure atashangaa...watu wananunua king'amuzi waangalie channel za bure ndio walipie app?!
 
Kweli kabisa. Mfano jana screen shoot ilitembea
Watakaolipa watakuwa habari zake wanazitoa huko wanazipeleka instagram na mitandao mingne wengine wanaona bure via screen shots na vido capture hapo ndipo maana nzima itapotea
 
FORUM STATISTICS

  • TOPICS960,354

  • MEMBERS376,118

  • POSTS19,319,133.............mkuu hayo mahesabu kwa Tanzania haiwezekani ebu angalia hapo kwenye members wa jf iliyoanzishwa mwaka 2005/6 kama sijakosea hadi leo member ni laki tatu tuu...na habari zote humu zinapatikana free of charge kutakuwa na jambo gani haswa kwenye apps ya wema kiasi cha kuwapumbaza watanzania waingie...uko?..kwakweli late ya watumiaji mitandao ni kubwa lakini wengi wanajua tu kusoma na sio kujiunga.
 
Kweli kabisa. Mfano jana screen shoot ilitembeaView attachment 467001
Makonda amekurupuka hawa kina Wema wana kesi ya kujibu lakini siyo hii, hawa wafunhuliwe kesi ya kusambaza ujinga kwenye jamii.

Madhara wanayoyaleta kina Wema ni mabaya kuliko hao wauza sembe.

Taifa likijaa watu wajinga wengi ni hasara tupu na kamwe haliwezi kuendelea.

Kama wewe unayesoma hapa ni miongoni mwa hao wajinga basi kuelewa hata chembe nilichoandika hapa.
 
Mnataka nami nikaidownload aaah hapana sita shusha maana Wema hajawahi kuwa fan wangu hata kidogo
 
Katika hao members laki 3 kumbuka kuna member wengi ambao kila mmoja ana ID's kuanzia 3-10.

Kuna jamaa aliwahi kusema hili jambo nikamkatalia ila juzikati nimekuja kujidhihirishia hilo.
Kuna mtu ananizunguka na ID's tatu yani kila nikifikiria nacheka sana.

Moja maarufu ambayo naijua ila tumezinguana,akanifuata na nyingine ktk thread fulani nikamjibu ili nijidhihirishe ni yeye,kweli alipojibu nikamjua.
Sasa ananifuata PM kunisalimia na nyingine ambayo nimekuja kumgundua juzikati.

Hahahah JF ni zaidi ya uijuavyo Wallah.
 
Hao watakaojisajili si ndo wataziweka humu kwenye mitandao na tutasoma bure?
Au hiyo app haitaruhusu kukopi na kupesti.!
Hizo bilioni zitatoka wapi?
 
Mimi nitamuunga mkono. Hongera Wema kwa hatua hiii
 
Kwahiyo alikula dili na Makonda watajane siku ya kuzindua App ili apate users wengi halafu mkwanja utakaopatikana wanagawana na Makondakta. Duh nawaonea huruma wale waandishi walijazana pale sentro

Hahaha [emoji1][emoji1] mkuu umewaza kama mim yani nimeshahisi kuwa hii ni drama tu wamewachomesha watu jua hahaa
 
ficha ujinga wako... hueleweki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…