Wema sepetu anaweza akapata hadi Tsh billion 1 kwa mwezi.

Hayo hayatoshi kama ushahidi kuwa hahusiki, acheni jeshi la polisi lifanye kazi yake, mie ni fun wake lakini tusubiri
 
akijiunga mmoja tu atakuwa anarip content zote then anaziupload for free youtube
teh teh teh you cant control digital copyrights
 
Saawa wema i hope tutapata sembe kwenye hio app yako
 
akijiunga mmoja tu atakuwa anarip content zote then anaziupload for free youtube
teh teh teh you cant control digital copyrights
Kweli kabisa......mmoja anatosha kusambaza vyote hvyo.....
 
[emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji817] [emoji115]
Ujinga ume take over the whole planet sasa ila kinachonisikitisha wazungu ulaya wanafanya ujinga baada ya kumaliza hatua zote za maendeleo sisi ndio kwaanza technology ina tu pull back by keeping us busy with damn f@[HASHTAG]#ing[/HASHTAG] business like upuuzi wa bongo movies
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…