Wema Sepetu apandishwa kizimbani mahakama ya Kisutu

upelelezi wa kipisi kmoja cha bangi bado unaendelea,hahahahahahahaha mkemia mkuu atakuwa anapima mbegu yake ililimwa wapi halafu wana trace mpka wamdake mkulima husika aunganishwe na sepetu😀
 
Aolewe huyu ana kichaa cha upweke.....sasa huyo jamaa amemuhold kama mumewe
 
Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaattt.......!!
Naombeni maelezo ya Sirro wakati wameenda kufanya search na walichokutananacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…