Wema Sepetu Apandishwa Tena Kizimbani Kisutu leo

Wema Sepetu Apandishwa Tena Kizimbani Kisutu leo

leo hajapata kampani ya mwenyekiti?

Mahakamani au polisi kama unakesi ya kuudhuria utaenya sana na mpaka wanahamua/kutoa hukumu hiyo mizunguko ata kama mlikuwa million utajikuta na wazazi tu,akamuulize G.Lema.
 
hahahaha, ati kimataifa, huyo jokate hata hapo kenya hawamfahamu, au ulikusudia kitaifa la ccm?
Sawa, yawezekana upo sahihi. Ila mie pia nipo sahihi, na ninakuwekea na evidence kwamba Jokate anaenda kimataifa zaidi kuliko huyo mpenda skendo wenu.

Forbes Africa on Their New 30 Under 30 Cover and Celebrating the Continent’s Rising Stars
Forbes Africas 30 Under 30.jpg
 
Back
Top Bottom