Kisaa alienda mtibu mama ake kuna siku nilikuwa naangalia tv shemeji yenu alikuja nitembelea akaweka hicho kipindi cha shoes sijui nikamuona wema yupo na mama yake kwenye hiyo hospital nahisi jamaa waliona ni fursa nzuri ya kujitangaza ndo mana wamempa deal
Hongera zake
balozi au dalali? Si waseme ukweli tu, si kashindwa kutumia jina lake vzuri, acha watu wamsaidie kutumia jina lake.
Kwa hyo kama asingenda hospital asingekuwa balozi? Huu ubalozi wa kuunga unga hapana kwa kweli ,maana siku izi ata shilole nae kawa balozi
ndio kitu chenyewe kutwa walichokuwa wanakipigia kelele uko insta? Mxiuuuu ...zari white party ndo habar ya mujini, msikose
hahaaaaabinamu una wivu na mama ubaya lol
shilole ni balozi wa nini nae
umeona eeh? Ahahah shilole c balozi wa kinywaji kipya cjui kinaitwaje
ila huu ubalozi magumashi, ina maana asingeenda wasingempa ubalozi
hahaaaaabinamu una wivu na mama ubaya lol
shilole ni balozi wa nini nae
NdIo kitu chenyewe kutwa walichokuwa wanakipigia kelele uko insta? Mxiuuuu ...Zari white party ndo habar ya mujini, msikose
bado mimi tu kuwa balozi..........
Mma wema alikua anaumwa mamco ama??????????
hudda monroe ndani ya nyumba kudadadekiiiii.....!!!
patanogajeeeeee....!!!!
umeona eeeehhhh....Makahaba wote international aka first class ndani ya nyumba, hapana chezeya zari white party, watu wanahaha kukodisha magari ya kifahari wakauzie sura ni shidaaaa
Alimpeleka mama ake anaumwa macho, apo apo akapata na ubalozi, ebu tujaribu na sisi kwenda binamu uenda tutapewa na sisi ubalozi wa kutangaza hospital pale mwenge kama wale wa tigo promotion, hahahahah
Aache kuuza mbunye katalunya ...balozi wa macho au balozi wa kuuza 0713