Wema Sepetu apata deal la ubalozi wa hospital ya kimatafa ya macho

Wema Sepetu apata deal la ubalozi wa hospital ya kimatafa ya macho

umeona eeeehhhh....
wema...sijui...ubaya!!#
tupa kuleeeeee!!
nampenda sanaaaa hudaaaaa
anaishi maisha yake!!

Huddah na zari wanaenda kutetemesha jiji siku hiyo, wadada wa mjini wajipange tu na kusubiri kufunikwaa
 
Huddah na zari wanaenda kutetemesha jiji siku hiyo, wadada wa mjini wajipange tu na kusubiri kufunikwaa

tenaaaaa wasubiriiii madaleeeeeeeeeeee au bunju(kwa mnaotoka njia ya tgt)
wengine msubir kiluvyaaaaaaaa(wale wa morogoro road)
na nyir msubiriiiieeegeee mwandengeee(wale wa mbagalaa)
haya msubiri buza kwa wale wa( tmk na tandikaaa)
nyie msubiriii chanika (wale mnaotoka gongo la mboto na buguruni)
nyi wa kigambonj(mkakae kimbiji)

nshawapa maeneo yenu ya kutusubiri wanafki,wambe na wachawi woooooteeeeeeeee

mlie mcheke shauri yenu
 
Hongera zake 👏👏👏👏
 
Ubalozi mpaka uteuliwe na rais. Sasa je, wema kateuliwa na rais?Wema is only
in her shoes!
 
Back
Top Bottom