Wema Sepetu apata dili nono baada ya filamu ya Heaven Sent kumpatia tuzo

Binti255

Senior Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
130
Reaction score
161
USIKOSE: Saa 10:00 jioni ya leo (Aprili 5, 2018), Mkali wa Bongo Movie, ambaye ndiye aliyeibuka Muigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Kimataifa za Sinema Zetu (SZIFF), Wema Sepetu atakutana na vyombo vya habari.

Kuna mengi mazito anataka ayaweke wazi. Channel ya Sinema Zetu ndani ya Azam TV itakuletea mkutano huu LIVE.


[HASHTAG]#SinemaZetu[/HASHTAG] [HASHTAG]#HakikaNiZaKwetu[/HASHTAG] [HASHTAG]#AzamTVApp[/HASHTAG] [HASHTAG]#AzamTV[/HASHTAG] [HASHTAG]#SZIFF2018[/HASHTAG]
 
Next, utasikia Hamisa Mobeto pia anaita waandishi wa habari.

Then atafuatia ebitoke na wapuuzi wengine.

As if watanzania tumekua watu wa kusikiliza vitu vya hovyo kutoka kwa watu wa hovyo hovyo!
 
kuna kipindi palifululiza breaking news sana kila saa halaf pakapoa ..saiv naona mambo yameanza tena waandishi wa habari kama nawaona na makamera yao kuwahi siti ukumbini
 
Tanzania nchi ya ajabu sana.
Kesho utasikia Nondo ana press conference pia.
 
wakati yeye anaosheosha 'wowow lake' lililo zeeka mwezake anapiga noti through mikataba ya kueleweka!
 
Next, utasikia Hamisa Mobeto pia anaita waandishi wa habari.

Then atafuatia ebitoke na wapuuzi wengine.

As if watanzania tumekua watu wa kusikiliza vitu vya hovyo kutoka kwa watu wa hovyo hovyo!
Mbona Mange unamsikiliza kila siku anakupeni maelekezo ya nini cha kufanya akiwa nyuma ya keyboard
 
Mazito wema hana, labda kama anataka kujisingizia anaujauzito [emoji51] [emoji51] [emoji51] [emoji51]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…