True beauty its not about excessive makeups!USIKOSE: Saa 10:00 jioni ya leo (Aprili 5, 2018), Mkali wa Bongo Movie, ambaye ndiye aliyeibuka Muigizaji Bora wa Kike katika Tuzo za Kimataifa za Sinema Zetu (SZIFF), Wema Sepetu atakutana na vyombo vya habari.
Kuna mengi mazito anataka ayaweke wazi. Channel ya Sinema Zetu ndani ya Azam TV itakuletea mkutano huu LIVE.
[HASHTAG]#SinemaZetu[/HASHTAG] [HASHTAG]#HakikaNiZaKwetu[/HASHTAG] [HASHTAG]#AzamTVApp[/HASHTAG] [HASHTAG]#AzamTV[/HASHTAG] [HASHTAG]#SZIFF2018[/HASHTAG]
hahaaaAma hakika yeye ndie mwigizaji bora wa kike hapa Tanzania. Ila filamu waliyompea tuzo ndio sio yenyewe. Filamu yake bora ni MY WAY BACK HOME (CCM)
hahaa haaaKuna watu Wema ndo rol modo wao ndo nabakigi nacheka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]atingishe tena takle
Hua uko na mimi wakati namsikiliza?Mbona Mange unamsikiliza kila siku anakupeni maelekezo ya nini cha kufanya akiwa nyuma ya keyboard
πππVipi mkuu hajagusia kuhusu kutoa video remix ya wowowo?
Huwa najiuliza hivi na nchi zingine zina upuuzi puuz kama huku kwetu? Au ni sisi tu ndio tuko tofauti na wengineTanzania nchi ya ajabu sana.
Kesho utasikia Nondo ana press conference pia.
Ni kweli kabisa na alijaribu viti maalumu CCM (Singida) akakosa.Mkuu uwe una taarifa kamili kabla ya kuandika tuhuma. Wema alimpigia kampeni Magufuli na alihamia CHADEMA Magufuli akiwa raisi
Mwigizaji bora Wa kuonyesha wowowo.labda aongelee Wowowow lake alipo jionyesha kwenyw maji ..
Au mwigizaji bora Wa kuonyesha wowowo lake.labda aongelee Wowowow lake alipo jionyesha kwenyw maji ..