ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Ni ndefu lakini someni itawasaiDia huyu dada alie toa ushauri anaitwa rose
ashukuriwe MUNGU wetu kwa kutubariki kuiona siku hii yamleo tukiwa wazima wenye afya na akiwa ametuandalia baraka tele siku nzima hii ya leo basi tuwe tayari kuzipokea
Part 1....leo naomba niandike hii kwa Wema Sepetu sijui kama ananifollow lakini najua wapo wengi wanaonifollow ambao anawafollow kwahiyo wakirepost inaweza kumfikia alipo
Dear Wema kabla hujaja humu duniani MUNGU alikujua na alikuumba wewe kwa mikono yake, akaweka hiyo sura yako nzuri, akakupa huo mwili wako ambao wanawake wengi wanaupenda wangekua nao, akakupa na sauti ambayo ukiongea kila mtu anataka asikie unasemaje, amekupa mikono ambayo unafanya kazi kwa njia yoyote hukosi kuweka chakula mezani na sio kula mwenyewe tu bali kuwalisha na wengine pamoja na watoto yatima MUNGU amekubariki unaishi sehemu nzuri ambazo watu wengine wanatamani japo waingie kwa siku moja tu, unamagari ya kifahari ambayo yanakufanya mwili wakao mzuri usiungue na jua kali wala mvua nzito ikinyesha, unawatu wanaokuhudumia with first grade kila unapoingia wakati watu wengine kutaka kuhudumiwa hivyo mpaka wahonge, watoe miili yao ama waongee kuonyesha hawapati huduma lakini for you watoa huduma wanakukimbilia kama malkia, unamarafiki wengi wanaokupenda na kua nawe, unafollowers lukuki ambao wanaokupenda watakaosimama na wewe kwa lolote mpaka MUNGU atakapoamua kukuchukua unapia watu wanaokuchukia hawa ndio wanaokupa baraka zaidi maana wanavyotaka kukuleta chini bila sababu MUNGU ndio anakuinua mara saba kwa mema unayoyafanya duniani
My dear post yako imeniuma sana na kujitahidi kuvaa viatu vyako lakini vimepywaya nimeshindwa, MUNGU alipokuumba alikua na sababu ya kukumba mwanamke na akajua kwa wakati wake yeye atakubariki upate mtoto kama wanawake wengine wengi, lakini pia watu wote tujue ni huyo huyo MUNGU ambaye hawapi wanawake wengie watoto sio kwamba kwasababu hawastahili hapana bali........INAENDELEA
ashukuriwe MUNGU wetu kwa kutubariki kuiona siku hii yamleo tukiwa wazima wenye afya na akiwa ametuandalia baraka tele siku nzima hii ya leo basi tuwe tayari kuzipokea
Part 1....leo naomba niandike hii kwa Wema Sepetu sijui kama ananifollow lakini najua wapo wengi wanaonifollow ambao anawafollow kwahiyo wakirepost inaweza kumfikia alipo
Dear Wema kabla hujaja humu duniani MUNGU alikujua na alikuumba wewe kwa mikono yake, akaweka hiyo sura yako nzuri, akakupa huo mwili wako ambao wanawake wengi wanaupenda wangekua nao, akakupa na sauti ambayo ukiongea kila mtu anataka asikie unasemaje, amekupa mikono ambayo unafanya kazi kwa njia yoyote hukosi kuweka chakula mezani na sio kula mwenyewe tu bali kuwalisha na wengine pamoja na watoto yatima MUNGU amekubariki unaishi sehemu nzuri ambazo watu wengine wanatamani japo waingie kwa siku moja tu, unamagari ya kifahari ambayo yanakufanya mwili wakao mzuri usiungue na jua kali wala mvua nzito ikinyesha, unawatu wanaokuhudumia with first grade kila unapoingia wakati watu wengine kutaka kuhudumiwa hivyo mpaka wahonge, watoe miili yao ama waongee kuonyesha hawapati huduma lakini for you watoa huduma wanakukimbilia kama malkia, unamarafiki wengi wanaokupenda na kua nawe, unafollowers lukuki ambao wanaokupenda watakaosimama na wewe kwa lolote mpaka MUNGU atakapoamua kukuchukua unapia watu wanaokuchukia hawa ndio wanaokupa baraka zaidi maana wanavyotaka kukuleta chini bila sababu MUNGU ndio anakuinua mara saba kwa mema unayoyafanya duniani
My dear post yako imeniuma sana na kujitahidi kuvaa viatu vyako lakini vimepywaya nimeshindwa, MUNGU alipokuumba alikua na sababu ya kukumba mwanamke na akajua kwa wakati wake yeye atakubariki upate mtoto kama wanawake wengine wengi, lakini pia watu wote tujue ni huyo huyo MUNGU ambaye hawapi wanawake wengie watoto sio kwamba kwasababu hawastahili hapana bali........INAENDELEA