cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Kwahiyo Mungu anawaadhibu tu wanaotoa mimba ila wanaozini aakhaaa!!!
Maana kuzini na kuabort zote ni dhambi na mshahara wa dhambi ni mauti!
Wote wanaadhibiwa Sawa mana ni dhambi nilikua na maanisha incase wale wanaotoa mimba mpaka kizazi hapo inakuaje hata uombe vipi hupati mtoto. Kama ni matatizo ya hormone tu ukienda kwa fertility Dr anaweza ku kusaidia. Hivi hivi wengi hawapi kwa kutoa kizazi sasa kesi ya bibie kutokuzaa haijulikani bora angekaa kimya wengi watakua wanatumia kumu attack.